Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Nimefanya uchunguzi na kubaini kuwa wanaume ambao hawana mademu huwa ni wambea kupita kiasi na wachonganishi.
Wanaume hao, wakiona mwanaume mwenzake kafanya kitu wanaenda kumwambia demu wa jamaa. Kwa mfano, we una kunywa pombe na dem wako hajui basi mwanaume huyo single na ni rafiki yako ataenda kumwambia demu wako... "hivi unajua MCHUNGUZI HURU anakunywa pombe".... "hivi unajua fulani ana dem mwingine yupo Moshi"... nk
Mwanaume single huchukua story zenu mlizokuwa mkipiga kama wanaume na kupeleka kwa demu wako.
Na wakati mwingine huchukua story kwa demu wako na kukuletea wewe. "demu wako jana nimemuona Best Bite na fulani sijui alikuwa anafanya nini".... nk.... yani ilimradi fujo tu.
WANAUME SINGLE ACHENI UMBEA
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Wanaume hao, wakiona mwanaume mwenzake kafanya kitu wanaenda kumwambia demu wa jamaa. Kwa mfano, we una kunywa pombe na dem wako hajui basi mwanaume huyo single na ni rafiki yako ataenda kumwambia demu wako... "hivi unajua MCHUNGUZI HURU anakunywa pombe".... "hivi unajua fulani ana dem mwingine yupo Moshi"... nk
Mwanaume single huchukua story zenu mlizokuwa mkipiga kama wanaume na kupeleka kwa demu wako.
Na wakati mwingine huchukua story kwa demu wako na kukuletea wewe. "demu wako jana nimemuona Best Bite na fulani sijui alikuwa anafanya nini".... nk.... yani ilimradi fujo tu.
WANAUME SINGLE ACHENI UMBEA
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Last edited by a moderator: