Habari zenu wana jukwaa.
Nimekuwa msomaji wa jukwaa kwa muda mrefu sasa na kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume kuwa wanawake wamekuwa ombaomba sana.
Lakini napenda kusema kuwa kuna baadhi ya wanaume ambao nao ni ombaomba sana. Mimi yalinikuta humuhumu jf. Kuna mkaka nilikuwa nadate nae hata hatujaonana eti kajifanya mshahara umechelewa kutoka kila saa ananiambia naangalia net hapa naona mshahara haujatoka mimi nkapiga kimya.
Alipochoka akafunguka eti nitumie hela kwa Mpesa then nitakurefund mshahara ukitoka,nikamjibu tu kwa upole kuwa siwezi kukupa maana mi sikufahamu.
Case chache kama hizi zinathibitisha kuwa wanaume wengine anao ni ombaomba. Pia nilishakuwaga na Bf ambaye nae alikuwa ombaomba balaa anaomba hela ya vocha, michango ya harusi anakuomba, na hata hela kwa matumizi mengine tena wanatumia vigezo vya kukurudishia ukiacha ke ambaye huomba tuu.
Nilikuwa natoa mifano inayothibitisha kuwa hata wanaume wengine nao ni ombaomba kama walivyo baadhi ya wanawake.
Mimi binafsi sipendi kuomba otherwise anipe mwenyewe na nikifika hatua ya kuomba ujue nina shida ukweli.
Ushauri wangu kwa wapenzi kuna kupeana zawadi au mpenzi wako amefeel tu kukupa fedha. Ingekuwa vema kama kila mtu angesolve matatizo yake mwenyewe wakati mkiwa wapenzi na hiyo kusaidiana ikaanza wakati wa uchumba na kuendelea.
Pia inabidi uangalie huyo mpenzi wako kama ana uwezo wa kukusaidia na kusaidiana kusiwe one side only.
Sina zaidi wenye uthibitisho kuwa me nao wanaomba alete hapa waache kutukandamiza.
Nimekuwa msomaji wa jukwaa kwa muda mrefu sasa na kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume kuwa wanawake wamekuwa ombaomba sana.
Lakini napenda kusema kuwa kuna baadhi ya wanaume ambao nao ni ombaomba sana. Mimi yalinikuta humuhumu jf. Kuna mkaka nilikuwa nadate nae hata hatujaonana eti kajifanya mshahara umechelewa kutoka kila saa ananiambia naangalia net hapa naona mshahara haujatoka mimi nkapiga kimya.
Alipochoka akafunguka eti nitumie hela kwa Mpesa then nitakurefund mshahara ukitoka,nikamjibu tu kwa upole kuwa siwezi kukupa maana mi sikufahamu.
Case chache kama hizi zinathibitisha kuwa wanaume wengine anao ni ombaomba. Pia nilishakuwaga na Bf ambaye nae alikuwa ombaomba balaa anaomba hela ya vocha, michango ya harusi anakuomba, na hata hela kwa matumizi mengine tena wanatumia vigezo vya kukurudishia ukiacha ke ambaye huomba tuu.
Nilikuwa natoa mifano inayothibitisha kuwa hata wanaume wengine nao ni ombaomba kama walivyo baadhi ya wanawake.
Mimi binafsi sipendi kuomba otherwise anipe mwenyewe na nikifika hatua ya kuomba ujue nina shida ukweli.
Ushauri wangu kwa wapenzi kuna kupeana zawadi au mpenzi wako amefeel tu kukupa fedha. Ingekuwa vema kama kila mtu angesolve matatizo yake mwenyewe wakati mkiwa wapenzi na hiyo kusaidiana ikaanza wakati wa uchumba na kuendelea.
Pia inabidi uangalie huyo mpenzi wako kama ana uwezo wa kukusaidia na kusaidiana kusiwe one side only.
Sina zaidi wenye uthibitisho kuwa me nao wanaomba alete hapa waache kutukandamiza.