Wanaume povu ruksa

Ongeza volume hatujaskia,mambo ya sijui ndugu mara wazazi na blaa blaa kibao ndo watanipa papuchi?
By the mimi mimi sijawahi kuwa driven na hizo hadithi so ukianza kwa hivyo vibwagizo ndo utegemee vitanishawishi nitoe pesa unakuwa umefeli nasoma bila kujibu siku ukiniuliza nasema sikuiona
Mwisho hiyo k si itakuwa sinia yaani madanga yote hayo?
 
Umbea mtupu
 
Kwamba wanaume hawatoi mkuu?
Wanatoa, lakini si rahisi kukusanya pesa yote kwa madanga 20 kwa wepesi kiasi hicho, unaweza ukapata madanga watano wakakutumia bila tatizo ila hao wengine watakwambia kwenye simu sina ataleta sababu mbali mbali nia yake uje uchukue, haya
wengine watakwambia subiri ntakutumia.
Sio ulale tu hapo kitandani usambaze huo ujumbe wako ukazani wanaume wote mandezi watatuma tu.
Asiyefanya kazi na asile
 
Duuh... hii experiensi yako inabagua wanaume wa kuifanyia?
 
Duuh... hii experiensi yako inabagua wanaume wa kuifanyia?
Mimi naamini hakuna pesa ya rahisi kama mwenye uzi anavyofikiri eti ukae hapo miguu juu usambaze ujumbe wako pesa zimiminike! Lazima ukaisumbukie.
Angalizo: mimi si mdangaji
 
Vile washkaj wana umoja siku wakikustukia mmoja ana omba papuch then wana wanakuja kupiga mtungo mbona utashaa...
 
message sent
 
Anataka kimono. .ili wahuni waone ka shape kake bila Shaka demu wako n modo
 
Vp Yule mganga aliyeingiza kichwa tuu ili dawa iingie
Mimi naamini hakuna pesa ya rahisi kama mwenye uzi anavyofikiri eti ukae hapo miguu juu usambaze ujumbe wako pesa zimiminike! Lazima ukaisumbukie.
Angalizo: mimi si mdangaji
 
Hiyo ya wazazi hiyo kwakweli umeisemea vizuri iangaliwe upya. Kuna hadi wake wa ndoa kabisa wanabana sana waume zao wasiwaendeleze wazazi wao ila wao kwao wanapeleka msaada kwa wingi sana. Utasikia wewe baba flani ni kweli siyo vibaya kuwasaidia wazazi wetu lakini angalia familia yako kwanza.

Hapo naye mke anafanya kazi tena mshahara mnalingana, mfano wote walimu au pengine anakuzidi lakini hela yake wala anatumia atakavyo ikiwemo kuwasaidia wazazi wake.

Hadi msemo umezuka eti watoto wa kike kwa sasa ndiyo wa kuzaa kwani wanajali sana wazazi wao kuliko wa kiume. Eti watoto wa kiume walikuwa na msaada zamani siyo siku hizi.

Wanaume tujiulize jamani tumekwama wapi mpaka hawa wanawake wameweza kutusahaulisha tulikotoka na kutufanya kuacha kabisa au kupunguza msaada kwa wazazi/walezi wetu?
 
Basi malaya wote wanaojiuza wasingejipanga barabarani uchi. Wangetuma tu sms hela zinamwagika.

Halafu wanawake wote wangekuwa matajiri. Tusingewasikia wakilia kwenye redio kuomba msaada.
 
 
achaga ubahili
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…