Wanaume povu ruksa

Ni ukweli lakini vifua vya watu havijawa tayari kuupokea ukweli na kuuishi hivyo si kazi rahisi,
 
"Utusamehe dhambi zetu kama nasi tuwasameheavyo wanaotukosea"

Hicho ni kipengele mojawapo katika sala ya Bwana kikitanguliwa na


"Utupe leo riziki zetu" inamaana ikiwa husamehi Watu halikadhalika hata baraka za kukuletea riziki unazifunga.

Je unajua faida za kusamehe zilivyo nzuri sana na nyingi kuliko kutosamehe kikawaida mbali hata na agizo la dini?
Mimi huyu huyu? Nimuombee jiwe?
 
Nimsamehe kwani kanikosea nini
 

Hii post nimeifoward kwa mchepuko wangu flani hivi, nimeambulia kununiwa na kususiwa
 
Michepuko wa kukuomba 20,000?? Kidogo sana hiyo, hao ndio wazuri, yaani unawezakuwa nao kama watano hivi hiyo laki moja, siku ya kulipa fadhila unawapitia tu freshi.
Sio mwengine anataka umlipie kodi ya nyumba milioni, hao wa 20,000 sioni tabu hapo, weka bajeti kama laki tano za kucheza cheza na michepuko wako.
 
Kwahyo ndio mnavotuchora eeeh pole yao madanga mana me nikitumiwaga msg za hivo nazima simu apo apo
 
UJUMBE UNATUMWA HIVI..
"Baby Mambo..?
Nimekumiss leo hadi nimekuota yaani nimeamka So Wet.. I really miss my Pompolimpo,na vile wajuaga kunikuna..
But pole na kazi Mme wangu,I wish I was there nikumassage na Ulimi hadi usinzie..
Baby leo Niko zangu tu home sijatoka
nlikuwa naangalia Muvi mara LUKU imekata hapa na sina hata Salio.
Kama una TSh 20,000 unitumie ninunue Luku Mume wangu..
Please maana kutoka mpaka ATM
saa
hizi usiku na haka kamvua yaani naogopa kutoka.. halafu mimi mwanamke nsijeibiwa ukanikosa.. Love you xoxoxo mwaaaa
"


Hata siwezi kupingana na huu ukweli wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…