wanaume piteni hapa....

wanaume piteni hapa....

BIA BORA

Senior Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
144
Reaction score
164
Wanaume tumekuwa hatulidhishwi na mambo kadhaa wanayoyafanya wanawake, hasa katika mahusiano

THEN..kwa mfano wewe mwanaume unageuka na kuwa mwanamke a.k.a DEM ungeboresha, au badilisha nini katika mlolongo wa tabia za sasa za dadazetu (wanawake wa sasa)
 
mimi mwanamume hata siku moja siwezi kujivika uanamke, tupa kule tabia zao
 
wanaume tumekuwa hatulidhishwi na mambo kadhaa wanayoyafanya wanawake, hasa katika mahusiano

then..kwa mfano wewe mwanaume unageuka na kuwa mwanamke a.k.a dem ungeboresha, au badilisha nini katika mlolongo wa tabia za sasa za dadazetu (wanawake wa sasa)

kwa bahati nzuri haitokuja kutokea mwanaume kuwa mwanamke kwa asili... Labda awe shogo... Hivyo kufikiri kuwa mwanamke hizo ni sawa na njozi za usiku... Cha msingi ni kukemea tabia usizopenda mkeo akufanyi tena ukizingatia kwamba si kila kibaya uschopenda mkeo au dem wako akufanyie na mwingine hukiona kibaya....
 
Mhh aisee hakuna kitu ninachomshukuru Mungu kama kuniumba Mwanaume, U jike siwezi kuukubali hata kidogo. Na ningezaliwa mwanamke nadhani ningekuwa Tomboy. Siwezi hata kufikiria mi jike. Ntaanzaje?
 
mh...kazi kwelkwel..hapa hawatakubali kutoa ushauri kwa kuogopa kujigeuza mwanamke..tena mrembo hasa..cha msingi ni kuwaomba tu ushauri wanaume wanamawazo gani kuhusiana na hilo na wao kama wanaume wanataka iweje....haya kwahelin nimepita tu...
 
Mimi mtu mume siwezi jilinganisha na masista duh labda waseme wao?
 
Inalillah wainallilah,


Naanzaje sasa kujigeuza kuwa KE???
 
Wanaume tumekuwa hatulidhishwi na mambo kadhaa wanayoyafanya wanawake, hasa katika mahusiano

THEN..kwa mfano wewe mwanaume unageuka na kuwa mwanamke a.k.a DEM ungeboresha, au badilisha nini katika mlolongo wa tabia za sasa za dadazetu (wanawake wa sasa)

ungeanza ww kutoa mfano kama ukiwa ke...
 
Back
Top Bottom