wanaume ni majanga matupu


you are not wise at all...

hebu fikiria vzur jinsi atakavyojixikia akixoma haya maneno yako uliyoandika hapa....

i can see that you dont love him at all.
 
he! hivi kumbe huku watu wanakulana kiukweliiii!!
 
Wanawake bwn, sijui hata mkoje, ungeitwa Guest house ungeenda, sasa mtu kakukaribisha kwake, mi nadhani huyo kakupenda cause hataki kujificha kwa watu, fikiria mtu anakuonesha chumba anacho lala, huoni kama kakuamini? Tena nadhani alichokupendea zaidi, historia zenu zinafanana!
 
Latifa usikubali wanaume niwanyanyasaji hasa Kama kagundua shida yako nikuolewa atakuwa anataka kuitumia hiyo shida kukuchezea anavyotaka yeye, yaani huyo mbanie mpaka ajute kukufahamu eti uhamie kwake hana haya kabisa huyo, mshiicshiyuuuu... kakuona wewe ndio mwanamke wakufanyia mazoezi ya mke, tena mwambie maku yako siyo ya mazoezi eeboooo!
 
Acha ushamba dadaa!siku hizi ndoa hamna,ni mbwembwe tu.channgamkia tenda ww!ohoo.
 

Kamgee tu!!
 
Tutabanana hapahapa Jf hadi kieleweke
 
mpenzi unakiwa kuwa makin kama ni mume utampata tu achana na wanaume waco jielewa just follow ur heart coz naamin unajua kuwa c sahih wanaume ni watu ila mpaka umpate sahih c kila anayekuckiliza anakuonea huruma huyo atakuongezea machungu pia ucpende kuonyesha uzaifu wako kwa mtu kuwa makin dada
 
Ukweli mimi siwaelewagi hawa wanaume kama mtu kakupenda kwanini asikwambie umpeleke kwa wazee mfanye taratibu zinazostahili? kashajua kuolewa ndio udhaifu wako kwahiyo akikwambia uhamie kwake utajua ndio kuolewa huko akisha kunyafuanyafua akwambie humfai au akuletee maudhi ukimbie mwenyewe, usikubali tena sasahivi usimpe hata ukaribu na wewe nakushauri kaa mbali sana na huyo mtu "No ndoa no kuishi pamoja"
 

Unauliza nini, wakati umeshajijibu kwenye kichwa chako hapo juu.
 
Unauliza nini, wakati umeshajijibu kwenye kichwa chako hapo juu.
okaaay!
Majanga haya ndoa niitake mimi kufunga ndoa afunge na mwingine ,majanga jama majanga
thank youuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…