Kinachotokea kwa hao watoto wanaodhaniwa kuwa wamebemendwa ni upungufu ama ukosefu kabisa wa virutubisho muhimu anavyohitaji mtoto ili aweze kukua vizuri.
Mazingira na kukosekana kwa malezi bora kwa mtoto pia yaweza kuwa sababu.
Lakini si kubemenda na ndiyo maana hakuna a clear biological mechanism which explain how mtoto anabemendeka mara baada ya mama aliyejifungua kufanya mapenzi.
Imani hii imejikita mno maeneo ya uswahilini ambapo mostly ni maeneo occupied by people having low life standard.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.