Hamna lolote. Nakwambia kati ya watu waliochoka..I mean kazi yao haiwezi kuexist bila uongo...Journalism is all about headlines in order to make a living, kwahiyo watakuja na stori mingi za utunzi ili tu ununue wauzacho.
Hao wanatafuta kitu cha kuvuta hisia za watu ili wasikilizwe, kama ambavyo wameshakuvuta ww. Hakuna kitu kama hicho, kwamba katika dk 93 za mechi ya mpira mwanaume atakua amehamisha mawazo yake mara 11 na kuwaza s.e.x!!? Never in earth.
Mkuu nilisikia hivo, si lazima kufikiria the whole game, ni vile let's say ukiona m'ke akakuvutia obviously hauta imagine unacheza nae soccer utafikiria zaidi mengine