Jamani si ana dudu nami nina kishimo!
Haahahahaaaa Kaunga unanipa raha sana aisee lolErickb52, yaani kama kaka yangu vile, maana kapanda unajua kupanda kinyamwezi eeh, yaani he is so handsome na athletic; tena bora wifi alivyoniachia mwenyewe. On top of that anajua kucare mpaka unajisikia raha. Mimi nimeamua kujiruhusu mwenyewe, to hell with the law!
Wifi nikisoma hizi lugha zako na mie natamani ningemuoa mdogo wangu Eiyer. Kwetu wanawake hawaongei lugha za kijiweni, aah!
Sijui bwana, ila kitu positive nilicholearn unampenda mkeo; na inakuuma dadiyo anavyotreatiwa vibaya.
Nilipokuwa mdogo, uncle zangu walimpa mama nyumba na miradi ili atoke kwenye ndoa. Good for us (children) alistick kwenye ndoa, maana l couldn't imagine living with mama wa kambo.
So if you can, help her become independent na kama anaweza kuondoka na watoto then bora atoke!
Ha ha ha, nisamehe basi wifi, nilikuwa nachangamsha Uzi tu! Halafu wewe mwenyewe unajifanya busy hata kunipa tip za kuwa kwenye familia yenu kwa uzuri! LOL
mhhh kweli TB Joshua ana kazi ngumu
hili pepo sijui akuombee vipi likutoke lol
Mimi mwenyewe nina mpango wa kuishi na kaka yangu, baada ya kutendwa na wifi!