Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
tena wanawake waskuizi ni waajabu sana, yani utamkuta mwanamke anaacha kunyoa mavuzi eti ananyoa nyusi...
Thank you! Usisahau shaving cream
Mti haupendezi bila bustani...bwanaa...
Nimefurahia pekunduSubutu yake!, anajua akiziacha kdg tu he ain't getting lucky
Mweeee my man knows how to keep him self clean na hanaga mambo hayo yakufuga mivuzi.
Na sina biashara lakini uvaaji wenu ndo unawaumbua.
Unakuta mtu kavaa sulwali mlegezo na ngua aliovaa ya juu yenyewe klfupi akijinyoosha tu halaulahhh chaka hilo waliona duh na nishawaona kama wakaka watatu hivyo hivyo muwe mnashave nywele zenu alaah!!
yote nimezingatia mkuu. Ahsante kwa ushauri
mweeee.
hahahahah bora yangu mie na nyoa mavuzi ila nyusi sinyoi!!
Hizo za mbele, wengine wana za nyuma pia halafu wanavaa mlegezo, akiinama kiama!
hahahaha uwaambie na wenzio sasa umuhimu wa kunyoa mavuzi, na hasara za kunyoa nyusi
hahahahahahaha tabibumtaratibu weeee!!
hahaha Baba mwenye nyumba ndo nshasema ivyo
Umejuaje kama mivuzi inasugua wakati umetuambia hii habari umeambiwa na rafiki yako? Na umejuaje wengine yanakuwa mengi mpk unavishualaiz smoke? Talking of experience??Aspirin hapana bwana, sasa kuna raha gani kuchubuka kwa kusuguliwa na manywele?
Wengine yanakuwa mengi mpaka you can visualize smoke coming out of it!