Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,473
Jumla ni Mia 400.....Mkuu umenikumbusha kale kahesabu cha familia...Baba ana sh 400/- na mama nae ana sh 300/-....Je jumla familia ina shilingi ngapi????
Jumla ni Mia 400.....Mkuu umenikumbusha kale kahesabu cha familia...Baba ana sh 400/- na mama nae ana sh 300/-....Je jumla familia ina shilingi ngapi????
Wametuita "mbuzi" kwa muda mrefu sana na hatukuona shida, wao wakapewa jina la "chura" tu kelele zikawa kila kona TAMWA, TAWLA,....Ni kweli,ndo maana wanatuweka kweny chupa afu bado wanatuita mambuzi,..bwahahahaha
Wametuita "mbuzi" kwa muda mrefu sana na hatukuona shida, wao wakapewa jina la "chura" tu kelele zikawa kila kona TAMWA, TAWLA,....
Na hiyo 400 bado ataomba pesa ya kumtumia mama anaumwa....Jumla ni Mia 400
Na hiyo 400 bado ataomba pesa ya kumtumia mama anaumwa....
Tena walikimbilia mpaka "TGNP" wakidhani kwa genda ni wao tu....hawakufikiria kuwa na sisi inatuhusu.....Bwahahaha bwahahahahaha TAMWA Tena duh,.. Bwahahahahaha
Aseeh kweli mkuu!?...bwahahahahahaTena walikimbilia mpaka "TGNP" wakidhani kwa genda ni wao tu....hawakufikiria kuwa na sisi inatuhusu.....
Mbona uandishi wako hautofautiani na Lara 1?Nimefurahi umeanza kwa kusema "baadhi yenu". Baadhi yetu inabidi tusawazishe habari kwa kuonyesha kwamba tunafanya wajibu wetu.
Sipendi kujigamba, lakini nikiona kama kuna tuhuma dhidi ya uanaume wangu kujitetea ni wajibu.
Mimi nam spoil Bi. Zuhra mke wangu (nimenunulia BMW SUV la nguvu hivi karibuni na ana kadi yangu yenye hela kibwena na anaweza kuzitumia anavyotaka mwenyewe).
Na nawa spoil wazazi wangu - ambao tangu awali hawahitaji msaada wangu sana- (nampatia Mzee wangu hela kuendeleza miradi yake kiasi anaona haya kutaja habari za hela kwa miezi sita baada ya kumpatia). Ninavyomuheshimu Mzee huyu kuna ndugu wengine hata siwajui wanakuja kumlilia, akinipatia habari sina hata maswali mengi, kwa sababu wamepita litmus test ya mzee wangu, hivi vi mizinga vya $ 200 - 500 nawacheki.Hela za kununua viatu tu hizo.
Nawa spoil wadogo zangu na vijana wadogo wa nyumbani (jana madogo wote wamepigwa Air Jordans wanazotaka wenyewe na mapochopocho mengine wajisikie wapo duniani na kuna wakubw wanawajali). Leo Bi. Zahra anawapeleka water park waende kupunguza joto na uchovu wa kukaa nyumbani.
Hapo hata sijataja habari za Dada zangu.
Kwa hiyo tafadhali, chonde chonde.
Kamaulivyosema awali.
Habariyako inaishia hukohukokwa baadhi hao, upande huu mwiko.
Tunawapenda wake zetu, wazazi, familia, watoto, tunahudumia vilivyo.
Sitokuja kuamini eti mme hana hela, ngumu kumezaAjabu mno hakuna mwanamke anaeamini akisikia mwanaume anasema
'sina hela'
Hahahaa 400 according to hesabu zenu.....Mkuu umenikumbusha kale kahesabu cha familia...Baba ana sh 400/- na mama nae ana sh 300/-....Je jumla familia ina shilingi ngapi????
Vizuriasante tukipata huwa tunatoa
Mtoa mada utakuwa na utani na Wachaga si bure..
Na hiyo 400 bado ataomba pesa ya kumtumia mama anaumwa....
HatujakaririMSIKARIRI
Wametuita "mbuzi" kwa muda mrefu sana na hatukuona shida, wao wakapewa jina la "chura" tu kelele zikawa kila kona TAMWA, TAWLA,....