nico winto
Member
- Jul 2, 2017
- 34
- 27
Hivi huwa mnamatatizo gani unakuta mwanamke analeta dharau na kukuaibisha lakini utasikia nampenda sana siwezi kumuacha.huo NI udhaifu.
Ni ujinga huo,halafu watu kama hao huishia kuumizwa vibaya. Asilimia kubwa ya watu wa Kigoma hupenda kupitiliza.Hivi huwa mnamatatizo gani unakuta mwanamke analeta dharau na kukuaibisha lakini utasikia nampenda sana siwezi kumuacha.huo NI udhaifu.
Mimi kuna wakati nilikuwa nice boy. Yaliyonikuta yakanifanya niwe hivi nilivo.utakuwa bado mtoto wewe hujawahi kupenda ukikua utajua maana yake
Mimi kuna wakati nilikuwa nice boy. Yaliyonikuta yakanifanya niwe hivi nilivo.
Hivi huwa mnamatatizo gani unakuta mwanamke analeta dharau na kukuaibisha lakini utasikia nampenda sana siwezi kumuacha.huo NI udhaifu.





Wewe huwa inakukeraee..??Hivi huwa mnamatatizo gani unakuta mwanamke analeta dharau na kukuaibisha lakini utasikia nampenda sana siwezi kumuacha.huo NI udhaifu.
Kabisa mkuu,umeongea bonge la point.Ukipenda sana utaumia tu hasa zama hizi za internet
Hivi huwa mnamatatizo gani unakuta mwanamke analeta dharau na kukuaibisha lakini utasikia nampenda sana siwezi kumuacha.huo NI udhaifu.
Kwa kiasi fulani. Sio sana.Kwaiyo umekua badboy
Kwa kiasi fulani. Sio sana.
Ila nikimpata mtu kama wewe hivi. Naahidi nitatulia
Kwa ajili yako nitakuwa good boy as long as u act loyal to me.Me staki badboys
Nakuzooom tuuMimi naonaga nao ni upopoma.
Ila yaweza kuwa bado hayajanikuta ndio maana naona hivyo.