katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .

