Wanaume mnakazi kubwa sana

Wanaume mnakazi kubwa sana

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,758
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .
 
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya
hata hao uliowasema walikua wema mwanzoni.
 
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .
apo unakuta kaoa kisa ya wowowo lazm mbele ajute
 
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .
Unatushaur nn mkuu??
 
Ila wanaume wana moyo mkubwa na mgumu.

Unakuta alioa kasichana karembo kembamba yaani portable ile balaa , anaweza kabeba , kakumbatia etc.


Ghafla bin vuuu mwanamke ameumka utadhani mikate ya kichaga hadi kanga hazitoshi lakini mwanaume utakuta bado anamoenda kwa dhati kabisa..
 
Katoto unatakaje kwani?
Kila mbuyu na zimwi lake.
 
Unakuta mnalala na majambazi wachawi walevi wachafu unakuta demu ananuka mdomo vikwapa na sehemu nyingine.
Utazani haogi.
Utakuta mwanaume anamwanamke mwenyw roho mbaya kama nini hataki kuwasaidia ndugu wa mume na wala hata wakwe zake.
Kamtu kana roho mbaya kananyanyasa watoto aliowakuta.
Unakuta mnalala na matapeli na malaya sijui huwa nyie wanaume tuwaweke group gani.
Mnashangaza halafu unakuta wale wema wazuri waelewa hamuawataki na kama mpo single au mnajutia ndoa mlizo nazo mnamlaumugi nani kwani hamkuwa mnamaamuzi kabla ya kuoa??
Dili na hali zenu sasa.
Wengine mmezaa na hao matapeli na majambazi ma wachawi.
HAPPY WEEKEND .
Like attracts like the universal law of attraction
 
Duh hii nikiboko naamini hii imemkuta Kaka yako nawifi yako hakupendi kinyama, kumwambia umeshindwa umeamua utuleteee huku povu
 
Back
Top Bottom