MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,478
Mademu wapiga mizinga mnaitwa huku
huyo anakua hakutaki kabisa maana anajua akipewa pesa iko siku atailipiaNa mwanamke ambaye haombi pesa na papuchi hatoi huyu anakuwa ana lengo gani
Nilikuwa na wa hivyo. Nikifulia dharau.. nikiwa nazo anataka mpaka ndoa.
Nikamwambia koma..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaoa Malaya ngoja ishiwe ,poor guyBinafsi ndoa yangu ipo salama.... Nilimpiga Saana vizinga kabla ya papuchi mpaka nilipopata amani Kuwa ataniweza!!!!!
Tunaingia mwaka wa 5 sasa
Sent using Jamii Forums mobile app