hata wewe mkuu ni mzembe kwa kiwango cha lami....kweli kabisa kuna bimkubwa jirani yangu zamani alikua hanipi lifti ila tokea mme wake ahamie dodoma ameamua kuchukua na namba yangu asubuhi akiamka ananipigia kabisa eti nijiandae na humo kwenye gari hiyo mikao anapandisha sketi juu anaongea ufuska tu mara akicheka anataka tugonge nikizubaa ananishika ana joto la hatari nahisi ibirisi karibu atanizidi nguvu!
ungefanya nini?Ila ningezaliwa mwanaume mm daa aseee
kuna mzinzi mwenzio huku mtaani ananiambiaga ivoivo ila najaribu tu kumshinda shetani huo uzembe not to that extent!hata wewe mkuu ni mzembe kwa kiwango cha lami....
Na kuna wanawake wengine wanalazimisha utoke nao out... Hata umwambie nina mtu, anajibu najua just for tonight...Ofcourse kazini napo kuna changamoto zake ni kujisimamia tu
Wengine Wana wake/ wame zao nyumbani wanalala na kuamka nao ila kazini roho zinawarukaa
Cc Smart911
Na kuna wanawake wengine wanalazimisha utoke nao out... Hata umwambie nina mtu, anajibu najua just for tonight...
Ni changamoto sana...
Unakumbuka siku ile kwenye pool party...Nitatoa mtu kibiongo khakhaakhaa
Watawachukuaje wakat hao akina mama KAZI ZAO ZIPO DAR?Ni wamama wawili sasa nmeona wamebadilika sana hapa kazini. Kila mtu kwa nafasi yake analalamika kuwa sasa ana hard time mahitaj ya kimwili hapati na mumewe yupo dodoma.
Ushawishi wao ni mkubwa. Huyu mmoja amefikia hatua kbisa ananambia " leo am so horny yaani ukinigusa tu wazungu haoo" akija ofisin kwangu ananitega sana kila wakat anataka tuzungumzie hbr za nyanjo/sex.
Na jimama lingine nalo linanambia linekuwa likiniangalia sana na kuona nipo serious so linapenda sana tupeane kampan hasa kipind hiki ni mpweke mumewe kaenda dodoma. Ananambia anajua nimeoa na ndo maana anataka atulie nami.tukapime tuwe tunakamuana tu kishkaj.ye hata sh yangu moja.
Nashauri waume mliohamia dodoma chukueni wake zenu. Wanatusumbua sana huku makazini na mitaani. Na wao wanaamini nanyi dodoma mnafanya hivyo hivyo.
mkuu umenichekesha... Halafu huyo jamaa yako nae ni mzembe angetakiwa akupige banzi.....wakati unmpa stori za huyo mama yetu....kuna mzinzi mwenzio huku mtaani ananiambiaga ivoivo ila najaribu tu kumshinda shetani huo uzembe not to that extent!
Sana,dhambi ya Mke wa mtu bhanaNaweza kuamini usemalo,namkumbuka jamaa mmoja na mkewe tuliajiriwa ofisi moja na mimi nilikuwa namzimia sana huyo mama lakini haniwashii taa ya kijani nifunguke lakini baada ya uhamisho wa mumewe kwenda mkoani haikuchukua muda mama aliingia mazima na nikakamua kinoma,aisee hii dhambi naijutia.