Wanaume Madomo Zege Bado Wapo?!

Hivi bado kuna swaga za kutongozana za usiku nakosa usingizi, nikilala nakuota, nikinywa maji nakuona kwenye glass??
Kama mtu anafikia kujiua kisa kupenda anashindwaje kumuwaza mtu siku nzima au kukosa usingizi?

Sema wadada wa siku hizi mnachowaza ni pesa tu na wakaka ni papuchi tu, mapenzi ya kweli na kuaminiana amna
 
Kama mtu anafikia kujiua kisa kupenda anashindwaje kumuwaza mtu siku nzima au kukosa usingizi?

Sema wadada wa siku hizi mnachowaza ni pesa tu na wakaka ni papuchi tu, mapenzi ya kweli na kuaminiana amna
Yapo sana, kama hauaminiki peke yako mkuu.
 
Leo nimeona niulize watz wenzangu dunia nzima wanasoma jamii forum

Miaka ya 1995, nilipataga mabwashee 2, walikuwa wananipenda sana alafu wanajuana

Jaman me sio malaya wala muhuni me mwanamke wa shoka jembeee Malkia wa nguvu, hata Yesu alisema zijaribuni kila roho so nikawaweka kila bwashee kwenye majaribu

Bwashee 1: alinipenda sana ila alikuwa mdogo kwangu kwa miaka 5.. akanizoea kama dada dada kumbe dada mdomoni, akaona kuniingia kunitongoza hawezi, akawa ananitumia wanaume watu wazima (gonjwa langu), basi akiwaleta wengine wanavurundaaa, mechi sitoii nawaektia wanaenda kumlalamikia mwanamke mwenyewe hajisomi miguu hafungui

Akanitaftia bwashee wa mwisho, alikuwa mkubwa kwangu miaka 15, huyu jamaa alinipenda Hatarious na mie nikamkubali vbaya mno, akawa yupo tayar kuniona, siku anatangaza nia bwashee no 1 akaja juu oh me huyu demu wangu na nene me natoa macho siri ikatoka ngumi zikapigwaa me nikawaachia wasamaria wema wawaamue

Kiukweli sikuwahi kuwaona wale watu tena sijui waliishia wapi, me nikaolewa na bwana mwengine, ila we keep intouch kwa simu (hehe afu wapo huku wanasoma)

Swali langu kwa wana JF ivi wale wanaume madomo zege bado wapo?!
Wanaokupenda kwa mbali ila kukutamkia hawawezi?!


Mie kubwa la madomo zege nipo.
 
Leo nimeona niulize watz wenzangu dunia nzima wanasoma jamii forum

Miaka ya 1995, nilipataga mabwashee 2, walikuwa wananipenda sana alafu wanajuana

Jaman me sio malaya wala muhuni me mwanamke wa shoka jembeee Malkia wa nguvu, hata Yesu alisema zijaribuni kila roho so nikawaweka kila bwashee kwenye majaribu

Bwashee 1: alinipenda sana ila alikuwa mdogo kwangu kwa miaka 5.. akanizoea kama dada dada kumbe dada mdomoni, akaona kuniingia kunitongoza hawezi, akawa ananitumia wanaume watu wazima (gonjwa langu), basi akiwaleta wengine wanavurundaaa, mechi sitoii nawaektia wanaenda kumlalamikia mwanamke mwenyewe hajisomi miguu hafungui

Akanitaftia bwashee wa mwisho, alikuwa mkubwa kwangu miaka 15, huyu jamaa alinipenda Hatarious na mie nikamkubali vbaya mno, akawa yupo tayar kuniona, siku anatangaza nia bwashee no 1 akaja juu oh me huyu demu wangu na nene me natoa macho siri ikatoka ngumi zikapigwaa me nikawaachia wasamaria wema wawaamue

Kiukweli sikuwahi kuwaona wale watu tena sijui waliishia wapi, me nikaolewa na bwana mwengine, ila we keep intouch kwa simu (hehe afu wapo huku wanasoma)

Swali langu kwa wana JF ivi wale wanaume madomo zege bado wapo?!
Wanaokupenda kwa mbali ila kukutamkia hawawezi?!



Tupo dada mimi mmoja wao,hata hapa naogopa kumtaka
 
Back
Top Bottom