zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
- Thread starter
- #261
Na wafupi nao wanapenda wanaume warefuSiwezi rudia date na mwanamke mfupi mimi...
Wanatembea haraka kama pikipiki,
Na wafupi nao wanapenda wanaume warefuSiwezi rudia date na mwanamke mfupi mimi...
Wanatembea haraka kama pikipiki,
Hahaha nimeangalia avatar yako nikamkumbuka pikipiki Mo SalahSiwezi rudia date na mwanamke mfupi mimi...
Wanatembea haraka kama pikipiki,
Hahah unataka kusemaje!Hahaha nimeangalia avatar yako nikamkumbuka pikipiki Mo Salah
Hamna nawaza wanawake sio mapenziDogo unawaza mapenzi tu.
Haiba ya kike ndio ikoje?Sipendi mwanamke asiye na haiba ya kike! Kasoro zingine ntarekebisha
Mwanamke asiye na sheshima ( Respect)Aisee! Wakati mwingine katika mahusiano kuna vibwanga vingi hasa pale wanawake wanapotofautiana tabia na mienendo ila wakati mwingine wanaume huwa tunaangalia ni wanawake gani wa kudate nao.
Kwa mfano mimi siwezi kudate na mwanamke anayenizidi elimu kwanza nitashindwa kuwezana naye kwasababu ni wajuaji sana Bora nidate na Kinda mwenzangu ndo tutaelewana sio wale wa viingereza vingi hadi kukuchamba anakuchamba kwa kiingereza
Lakini ni wanawake wanao nyoa kiduku siwezi date nao kwasababu nahisi watakuwa wahuni sasa mwanamke atakuaje mhuni kiasi hicho. Hiyo ni moja tu ya aina ya mwanamke ambaye binafsi mimi siwezi kudate naye Ila zipo nyingi tu kwa wanaume wengine.
Wengine wanaweza kukwambia siwezi date na demu wa uswazi bora nidate na wa kishua coz wa kiswazi anaomba mpunga sana