kuna kitu kinaitwa GRATITUDE hao unaowaona hawana, watu kama hao sio kwa mkewe tu ila huwa hawa appreciate chochote kwenye maisha yao na wana sumu kweli kweli hasa akikosewa hawez kusamehe maana hana shukrani na uwepo wa wengine kwenye maisha yao - hilo nalo ni tatizo