Sijawahi kujua mwanamke/msichana mwenye mvuto ni mwanamke ama msichana wa aina gani.
Ingawa ninatambua kwamba mvuto wa mwanamke ama msichana hutoka kwenye chachu ya mtazamo ama jicho la mwanaume
Sijawahi kujua mwanamke/msichana mwenye mvuto ni mwanamke ama msichana wa aina gani.
Ingawa ninatambua kwamba mvuto wa mwanamke ama msichana hutoka kwenye chachu ya mtazamo ama jicho la mwanaume
Halafu shetani anamchora tu. Miaka mitatu mingi atakuja kulia lia hapo hapo,machizi wakishaanza kumgongea huyo demu wake anaemuanika anika. Nakuambia lazima wahuni wambutue huyo demu wake,si amemtangaza
Halafu shetani anamchora tu. Miaka mitatu mingi atakuja kulia lia hapo hapo,machizi wakishaanza kumgongea huyo demu wake anaemuanika anika. Nakuambia lazima wahuni wambutue huyo demu wake,si amemtangaza
Tatizo wanaume wengi wanaona kama vile wakiwasifia wake zao au wapenzi wao mbele za watu wataonekana wamejishusha na wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kwahiyo wanajikuta makauzu
Ila wao wanapenda wake zao au wapenzi wao wawasifie mbele za watu aisee wanaume siyo kila kitu lazima mfanye kwa kujali wanaume wenzenu watawaonaje au watasemaje
Fanyeni kwa sababu ya mapenzi yenu kwa wake zenu au wapenzi wenu maana hao wanaume wenzenu hawatowazalia watoto
Na kwenye swala la kuzikwa hata wake zenu au wapenzi wenu wanaweza kuwazika vile vile kwahiyo muache kujifanya makauzu wakati ukweli unajulikana kabisa kwamba wanawake ndo udhaifu wenu namba moja