Huyu jamaa sijui kapewa nini na manzi ake...
Hizi papuchi za ukubwani ni taabu sana.
Yaani jamaa kisa manzi sasa hivi kama alishaacha kuwa mwanaume tena.
Sijawahi kujua mwanamke/msichana mwenye mvuto ni mwanamke ama msichana wa aina gani.
Ingawa ninatambua kwamba mvuto wa mwanamke ama msichana hutoka kwenye chachu ya mtazamo ama jicho la mwanaume
Huyu jamaa sijui kapewa nini na manzi ake...
Hizi papuchi za ukubwani ni taabu sana.
Yaani jamaa kisa manzi sasa hivi kama alishaacha kuwa mwanaume tena.
Kwa hilo sikatai..
Hata mimi nna manzi mkali sana na kila siku huwa ninamwambia..
Lakini sijafikia hatua ya jamaa ya kuwa kama chizi... yaani jamaa anafanya kama vile amepewa favor na huyo manzi kama vile ha- deserve kuwa nae
Kwa hilo sikatai..
Hata mimi nna manzi mkali sana na kila siku huwa ninamwambia..
Lakini sijafikia hatua ya jamaa ya kuwa kama chizi... yaani jamaa anafanya kama vile amepewa favor na huyo manzi kama vile ha- deserve kuwa nae