mie najichubua nipo muzuri sana pia wanamume wa maana wenye mipesa nipo nao
wanamume kujishaua humu jf kibao wananitaka mie siwataki wanaume wenye hela hawaingii humu
wanaume muwache kujishaua
siku hizi haibaki alama mwili wote unakuwa sawa murangi mumoja maskini ndio wanaoacha alama vidoleni