kisasangwe
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 292
- 52
- Thread starter
- #41
then dunia imefika pabaya. sasa hivyo vyu..... i anaziwekajewekaje...jamani duniani kuna mambo.nlijua dunga wanawehuka kwa vile wanaona mtu kumbe wengine hadi kwenye nguo?katavi..............
kuna mwengine alikamatwa ana nguo za ndani za wanawake zapata 200 zote kaziiba! heheh hayamaradhi ya kingono yako ya kila aina kwa kweli...
hapa akibabwa na nguo ya ndani atapewa kichapo cha ushirikina...... mh