ivi kwel ni sawa kwa wapenz kuvaliana nguo za ndan et kisa they a totally in lov he mbona n vioja unapanda daladala unashanga mwanaume mzima amevaa bikin mbaya zaid amevaa kata k unaweza ata kufikiriwa vingine aaahh! badiliken!
Hamna wewe utakuwa umechanganya madesa, kuna THONG za kiume zimeingia mda mda kidogo, sasa ndo utakuwa umeona mtu kavaa design hizo. Sidhani kama Engine ya mwanaume inatosha kwenye G-STRING ya kike!!!!! Chupi zenyewe zile 1960s zinaelemewa nusu kuchanika. Thong za kiume zipo kama Bikini ila mbele zinakuwa pana, afu mterial tight kama boxer, na hizi wale wagonjwa wenzangu wa ECZMA(sijui kama nimepatia spellings) wanaume ndo wanashauriwa wavae hizoo, coz boxer inaongeza vipele na muwasho! Usipime kuwashwa ndani ya boxer mbele za watu!!!! Wanawake ndo inashauriwa wavae thong na g-string
unachukua masomo ya nguo za ndan chuo gan mpendwa!
Hahaaah! KAMASUTRA UNIVERSITY OF 6*6, B.A (Hons) in sexiology with bedstyleography!!!! Hiyo nimemaliza na G.P.A 4.5 na kupewa scholarship ya Masters Sexiology with Investment Financing ndo namalizia Thesis!!!! LOLEST!!!! NANI KANUNA????!!!! NICHEKE NIONGEZE MAISHA MIE!
Hamna wewe utakuwa umechanganya madesa, kuna THONG za kiume zimeingia mda mda kidogo, sasa ndo utakuwa umeona mtu kavaa design hizo. Sidhani kama Engine ya mwanaume inatosha kwenye G-STRING ya kike!!!!! Chupi zenyewe zile 1960s zinaelemewa nusu kuchanika. Thong za kiume zipo kama Bikini ila mbele zinakuwa pana, afu mterial tight kama boxer, na hizi wale wagonjwa wenzangu wa ECZMA(sijui kama nimepatia spellings) wanaume ndo wanashauriwa wavae hizoo, coz boxer inaongeza vipele na muwasho! Usipime kuwashwa ndani ya boxer mbele za watu!!!! Wanawake ndo inashauriwa wavae thong na g-string
mmh! and hons included seems as it is a property of a certain secret society oops am les dea!
Hamna wewe utakuwa umechanganya madesa, kuna THONG za kiume zimeingia mda mda kidogo, sasa ndo utakuwa umeona mtu kavaa design hizo. Sidhani kama Engine ya mwanaume inatosha kwenye G-STRING ya kike!!!!! Chupi zenyewe zile 1960s zinaelemewa nusu kuchanika. Thong za kiume zipo kama Bikini ila mbele zinakuwa pana, afu mterial tight kama boxer, na hizi wale wagonjwa wenzangu wa ECZMA(sijui kama nimepatia spellings) wanaume ndo wanashauriwa wavae hizoo, coz boxer inaongeza vipele na muwasho! Usipime kuwashwa ndani ya boxer mbele za watu!!!! Wanawake ndo inashauriwa wavae thong na g-string
Nakubaliana na wewe, zipo za kiume, lakini nadhani tusiyapuuze hata kidogo maneno ya [MENTION]ESSIONER/MENTION] maana baadhi ya vijana matozi wa hapa mjini hao ndo wanaweza kuwa wamechanganya badala ya kuvaa za kiume mtu akapiga za kike na mbaya zaidi, akalegezea, aibu! Maana baadhi yao wanaiga iga tu bila kufahamu nini cha kuvaa na wapi! Kama ulikuwa unaangalia EBSS ungeona jinsi baadhi ya vijana matozi toka wilayani walivyokuwa wanajifunza kutupia pamba kama diamond na wasanii wengine, ungewaonea huruma.
Hahaaah! KAMASUTRA UNIVERSITY OF 6*6, B.A (Hons) in sexiology with bedstyleography!!!! Hiyo nimemaliza na G.P.A 4.5 na kupewa scholarship ya Masters Sexiology with Investment Financing ndo namalizia Thesis!!!! LOLEST!!!! NANI KANUNA????!!!! NICHEKE NIONGEZE MAISHA MIE!
Hivi bikini jamani si chupi + sidiria ?
hata suti ni kot,shat,tie,surual lakin kuna mixer!
wanawake nao waache kuvaa ma bukta yanawa pwaya...........ivi kwel ni sawa kwa wapenz kuvaliana nguo za ndan et kisa they a totally in lov he mbona n vioja unapanda daladala unashanga mwanaume mzima amevaa bikin mbaya zaid amevaa kata k unaweza ata kufikiriwa vingine aaahh! badiliken!