Bugals Edward Member Joined Jan 13, 2018 Posts 37 Reaction score 7 Feb 3, 2018 #1 Karibu kwa mkazi wa Mbeya kuwafariji watoto yatima Katika kituo cha watoto yatima IWAMBI Mbeya ni siku ya jumamosi ya tarehe 10/02/2018 na wewe ulieko nje ya Mbeya, unaweza kwenda Katika kituo Karibu yako....
Karibu kwa mkazi wa Mbeya kuwafariji watoto yatima Katika kituo cha watoto yatima IWAMBI Mbeya ni siku ya jumamosi ya tarehe 10/02/2018 na wewe ulieko nje ya Mbeya, unaweza kwenda Katika kituo Karibu yako....
N nsereko m JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 2,930 Reaction score 2,175 Feb 3, 2018 #2 wito mzuri.
Bugals Edward Member Joined Jan 13, 2018 Posts 37 Reaction score 7 Feb 3, 2018 Thread starter #3 Karibu
Bugals Edward Member Joined Jan 13, 2018 Posts 37 Reaction score 7 Feb 3, 2018 Thread starter #4 Karibu sana, ndugu hata ukiwapelekea kakitu kadogo huko uliko watashukuru, Asante sana
Bugals Edward Member Joined Jan 13, 2018 Posts 37 Reaction score 7 Feb 11, 2018 Thread starter #5 nsereko m said: wito mzuri. Click to expand... Asante kwa maombi yako, jana tumekilisha, tumecheza michezo wanayoipenda
nsereko m said: wito mzuri. Click to expand... Asante kwa maombi yako, jana tumekilisha, tumecheza michezo wanayoipenda
U ustadhijuma JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 3,133 Reaction score 2,118 Feb 11, 2018 #6 kuwapiga picha na kuweka kwenye tangazo kwa muono wangu Mimi "Naona unawadharirisha" japo lengo lako sio baya
kuwapiga picha na kuweka kwenye tangazo kwa muono wangu Mimi "Naona unawadharirisha" japo lengo lako sio baya
Bugals Edward Member Joined Jan 13, 2018 Posts 37 Reaction score 7 Feb 11, 2018 Thread starter #7 ustadhijuma said: kuwapiga picha na kuweka kwenye tangazo kwa muono wangu Mimi "Naona unawadharirisha" japo lengo lako sio baya Click to expand... Asante, ila ni kama watu wote huwa wanapiga picha na kuziweka, labda sijajua vyema
ustadhijuma said: kuwapiga picha na kuweka kwenye tangazo kwa muono wangu Mimi "Naona unawadharirisha" japo lengo lako sio baya Click to expand... Asante, ila ni kama watu wote huwa wanapiga picha na kuziweka, labda sijajua vyema