i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Mimi naona hawa jamaa Apple wanajiamini sana kuingia kwenye hii market ya 7" na kuuza kifaa chao for $330 wakati wengine wanaanzia $200. Hata mimi nilizania kitakuwa labda kuanzia $250. Lakini pia nataka kukumbusha hawa jamaa wa apple wao wanatenge vifaa ndo vinavyo waingiziaa hela sana kwenye biashara. Kina google na nexus 7 na amazone kindle wao kibiashara wanapata hela zaidi kwenye matangazo na biashara ya online kwahiyo wanaweza wakacompromise. Ukimwangalia sumsung naye analundo la mavifaaa anayotengeneza pia anaweza compromize hapa na bado akapata viprofite na kuwafurahisha wateja wake teyari alionao. Yangu hayo tuu lakini labda tusubirie mauzo report hapo monday au tuesday ya pre-oders.