amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,199
Mwanasiasa wa Uzito wa juu Edward Lowassa muda huu anakaribia kuingia jijini Mbeya. Wale dagaa mlioko huko tafuteni njia haraka kukwepa aibu. Ataanza na majimbo yote ya wilaya ya Rungwe.. Msiseme sijawaambia, nimewaambia mapema kuwaepusha na aibu