Wanasiasa Siku zingine msirudie tena hili Kosa kwani mnatuchosha na kuanza kutufanya tuwaone hamna tena jipya

Ni Ombi langu tu Kwenu Wanasiasa wote nchini Tanzania kwamba muwe mnajitahidi pale mkiwa mnaitisha ' Press Conferences ' zenu kuzungumzia mambo fulani / jambo fulani muwe mnatuambia Watanzania vile Vitu ' vizito vizito ' na ' muhimu ' Kwetu na siyo kutuambia vile Vitu ambavyo wengine tumekuwa tukivisikia tokea tukiwa Shule za Msingi hadi leo.

Halafu na kama mnajijua kabisa kuwa huwa mnakuwa hamna jipya na la maana basi acheni kuwapotezea muda Watanzania kwa kuwapa hamu ya Kujua jambo geni Kwao halafu baadae wanakuja kuyasikia yale yale ambayo wameshayasikia na wameyazoea. Mnatukera na kutufanya sasa tuwaone ni kama vile mmeishiwa Kisiasa.

Kuna haja gani ya Wewe / Nyie Kuitisha ' Press Conference ' kisha unakuja Kutueleza Watanzania jambo lile lile ambalo pengine Mwanasiasa mwenzako ambaye nae alikuwa katika hiyo hiyo ' situation ' kama yako au hata alikuzidi kidogo nae alishawahi Kutuelezea? Na nyie Waandishi wa Habari muwe mnajiongeza kwani kama mkiwa mnawaona hawa Wanasiasa wa Kitanzania wanawaita halafu wanaenda Kuongea kile kile acheni kuwa mnatuhabarisha kwani mnatuchosha kama siyo mnatuboa.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa Wanasiasa wa Tanzania acheni kuwafanya Watanzania ni Mambumbumbu / Mbayuwayu na Kutaka Kujipatia ' Kiki ' kupitia mambo ambayo mnayapitia ambayo mengineyo yamewagharimu kutokana na ' Upuuzi ' wenu halafu baadae mnatafuta huruma. Watanzania wa leo tunataka Kusikia au Kuambiwa mambo yenye Tija na Mantiki halafu yawe mazito hasa na siyo Utoto Utoto na Kulialia tu.

Uzi wangu huu uende kwa Wanasiasa na Vyama vyao vyote vya Kisiasa ambavyo wanaviwakilsha.

Nawasilisha.
We bwana unamatatizo makubwa kichwani,hyper tension of knowing and self centred.Huu ni ujuha wa watu waliokosa exposure!!!Kwa hyo unataka watu waitishe press conference ya kukufurahisha wew?Who are you?On my opinions,your simple literal terms are mostly void ,senseless and wild.This kind of reasoning is purely illogical and prematurely dramatic!!
 
Maombi yangu Kwake ninayoyafanya kila Siku / Uchao ili apone haraka ni Mchango muhimu na tosha Kwake kuliko hiyo mingine ya Kinafiki na iliyojaa Unafiki na ambayo inaongozwa na Mnafiki Wewe.
UONEVU SASA basi.
IMG-20190315-WA0024.jpg


"Mopao Mokonzi"
 
We bwana unamatatizo makubwa kichwani,hyper tension of knowing and self centred.Huu ni ujuha wa watu waliokosa exposure!!!Kwa hyo unataka watu waitishe press conference ya kukufurahisha wew?Who are you?On my opinions,your simple literal terms are mostly void ,senseless and wild.This kind of reasoning is purely illogical and prematurely dramatic!!

Wakisema Watu wenye ' Exposure ' au waliopata ' Exposure ' wajitokeze na Wewe ' Uncircumcised Baboon ' utajitokeza?
 
Mbona naona kama vile sasa hivi unaanza kuwa Mpole na Matusi yamekuishia hadi kuna muda unayarudia yale yale tu? Vipi MimI ' Muasisi ' wa hayo maneno Shombo / Kunya yote unataka nikuazime maneno mengine ili uendelee Kunishambulia nayo? Hakuna Vita ninayoijua na kuiweza kisawasawa kama ya Kisaikolojia na Mashambulizi ya Kimtandao hasa ya Kimaandishi na Maneno hivyo hapa najiona kama vile Nyoka nipo katika Nyasi za Kijani zilizochanua vizuri kabisa hivyo natiririka na naserereka zangu tu na kwa raha zote.
Hongera,na kesho uandike tena ili upate raha wewe kiazi!!!!!
 
Nimewalenga Wanasiasa wa Tanzania ila kama Wewe una Ushahidi ulio ' Kuntu ' kabisa kwamba ' Uzi ' huu nimewalenga Wapinzani kama unavyolazimisha Wewe ' Pumbavu ' naomba uuweke hapa ' otherwise just keep your Pig Mouth shut ' sawa?
Kiazi wewe umeumbuka,huna jipya!
 
Ni Ombi langu tu Kwenu Wanasiasa wote nchini Tanzania kwamba muwe mnajitahidi pale mkiwa mnaitisha ' Press Conferences ' zenu kuzungumzia mambo fulani / jambo fulani muwe mnatuambia Watanzania vile Vitu ' vizito vizito ' na ' muhimu ' Kwetu na siyo kutuambia vile Vitu ambavyo wengine tumekuwa tukivisikia tokea tukiwa Shule za Msingi hadi leo.

Halafu na kama mnajijua kabisa kuwa huwa mnakuwa hamna jipya na la maana basi acheni kuwapotezea muda Watanzania kwa kuwapa hamu ya Kujua jambo geni Kwao halafu baadae wanakuja kuyasikia yale yale ambayo wameshayasikia na wameyazoea. Mnatukera na kutufanya sasa tuwaone ni kama vile mmeishiwa Kisiasa.

Kuna haja gani ya Wewe / Nyie Kuitisha ' Press Conference ' kisha unakuja Kutueleza Watanzania jambo lile lile ambalo pengine Mwanasiasa mwenzako ambaye nae alikuwa katika hiyo hiyo ' situation ' kama yako au hata alikuzidi kidogo nae alishawahi Kutuelezea? Na nyie Waandishi wa Habari muwe mnajiongeza kwani kama mkiwa mnawaona hawa Wanasiasa wa Kitanzania wanawaita halafu wanaenda Kuongea kile kile acheni kuwa mnatuhabarisha kwani mnatuchosha kama siyo mnatuboa.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa Wanasiasa wa Tanzania acheni kuwafanya Watanzania ni Mambumbumbu / Mbayuwayu na Kutaka Kujipatia ' Kiki ' kupitia mambo ambayo mnayapitia ambayo mengineyo yamewagharimu kutokana na ' Upuuzi ' wenu halafu baadae mnatafuta huruma. Watanzania wa leo tunataka Kusikia au Kuambiwa mambo yenye Tija na Mantiki halafu yawe mazito hasa na siyo Utoto Utoto na Kulialia tu.

Uzi wangu huu uende kwa Wanasiasa na Vyama vyao vyote vya Kisiasa ambavyo wanaviwakilsha.

Nawasilisha.

Kama una hamu na kusikia mapya "kufa"
 
Ni Ombi langu tu Kwenu Wanasiasa wote nchini Tanzania kwamba muwe mnajitahidi pale mkiwa mnaitisha ' Press Conferences ' zenu kuzungumzia mambo fulani / jambo fulani muwe mnatuambia Watanzania vile Vitu ' vizito vizito ' na ' muhimu ' Kwetu na siyo kutuambia vile Vitu ambavyo wengine tumekuwa tukivisikia tokea tukiwa Shule za Msingi hadi leo.

Halafu na kama mnajijua kabisa kuwa huwa mnakuwa hamna jipya na la maana basi acheni kuwapotezea muda Watanzania kwa kuwapa hamu ya Kujua jambo geni Kwao halafu baadae wanakuja kuyasikia yale yale ambayo wameshayasikia na wameyazoea. Mnatukera na kutufanya sasa tuwaone ni kama vile mmeishiwa Kisiasa.

Kuna haja gani ya Wewe / Nyie Kuitisha ' Press Conference ' kisha unakuja Kutueleza Watanzania jambo lile lile ambalo pengine Mwanasiasa mwenzako ambaye nae alikuwa katika hiyo hiyo ' situation ' kama yako au hata alikuzidi kidogo nae alishawahi Kutuelezea? Na nyie Waandishi wa Habari muwe mnajiongeza kwani kama mkiwa mnawaona hawa Wanasiasa wa Kitanzania wanawaita halafu wanaenda Kuongea kile kile acheni kuwa mnatuhabarisha kwani mnatuchosha kama siyo mnatuboa.

Namalizia kwa Kusisitiza kuwa Wanasiasa wa Tanzania acheni kuwafanya Watanzania ni Mambumbumbu / Mbayuwayu na Kutaka Kujipatia ' Kiki ' kupitia mambo ambayo mnayapitia ambayo mengineyo yamewagharimu kutokana na ' Upuuzi ' wenu halafu baadae mnatafuta huruma. Watanzania wa leo tunataka Kusikia au Kuambiwa mambo yenye Tija na Mantiki halafu yawe mazito hasa na siyo Utoto Utoto na Kulialia tu.

Uzi wangu huu uende kwa Wanasiasa na Vyama vyao vyote vya Kisiasa ambavyo wanaviwakilsha.

Nawasilisha.
Kwani umelazimishwa kusikiliza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado nawauliza Wewe na hao ' Wapumbavu ' Wenzako ambao Kutwa huwa mnasumbuka na kuhangaika na GENTAMYCINE kama mmeshajua Headings zangu huwa ni ndefu na wapo Watu ambao mnawajua wana Headings fupi kama Vibolo na Visimi vyenu sasa kwanini msiwe mnaachana na Mimi na muwe mnawasoma hao lakini Kutwa tu mnahangaika na Mimi? Narudia tena kusema kuwa siyo Kosa lenu Kupenda Kunifuatafuata bali najua kinachowateseni Kwangu ni hiki Kifuatacho...." Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " na kwakuwa tayari nimeshajua kuwa kuna ' Wapumbavu ' wengi wakiongozwa na Wewe huwa hamlali na mnapata taabu na Mimi hivyo sasa nafanya Makusudi ' Kuwaudhi ' ili mpandwe na Hasira nami zaidi hadi mpasuke na nawahaadi nitawateseni na kuwasumbueni mno tu hapa.
Comment yako ndefu sana, sijasoma!
 
Back
Top Bottom