Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
We mpumbav huna jipya,umeongea kuvitukana vyama vya upinzani idiot,mpe ushauri huo Rais wako ambaye zinajirudia rudia kila wakati,stiff insolent naked fool!!!!!Nionyeshe ni wapi nimevitaja Vyama vya Upinzani hasa hicho chako amacho Kimejaa ' Wapumbavu ' watupu kama alivyosema Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mzee Mkapa viwanja wa Jangwani mwaka 2015. Maelezo yangu yapo wazi kabisa kuwa nimevitaja Vyama vyote vya Siasa nchini Tanzania kikiwemo hapa kile ambacho nakishabikia hivyo yoyote yule ambaye labda atahisi kuwa nimeanzisha huu ' Uzi ' kuwasema Wanasiasa fulani au Chama fulani cha Kisiasa basi atakuwa ni ' CERTIFIED IDIOT ' wa Kutukuka kabisa.