Ahsante kwa mada nzuri sana
Mungai na sera yake ya kufuta kilimo ndo 7bu ya nchi kutokuwa na wataalamu wa kilimo, cha kushangaza sera ya kilimo kwanza inaanzishwa lkn waliojiunga na koz izo ni walosoma HGK,HGL,EGM.HGE. wizara wanapewa viongoz wenye mtazamo wa kikuku wanaotumia nguvu nyingi kuimarisha paa wakat mcngi umejengwa kwa mchanga, unategemea apo patajengeka?