Mgoshingwa
Member
- Aug 26, 2018
- 38
- 17
Kwangu Mimi ni
1. TL; Alikufa na kufufuka bila kubadili msimamo wa kuitetea TZ
2. ZZK; Amekubali kushirikiana na waliomuona msaliti kwa maslahi mapana ya mama TZ
3. Maalim Seif; Pamoja na kupokwa ushindi na misukosuko mingi bao anaendesha siasa za kistaarabu zinazoepuka madhara/ maafa kwa wengine.
4. Mbowe; Amepigwa mishale kila kona, binafsi na chamani lakini bado amekomaa na msimamo wake.
5. .....
1. TL; Alikufa na kufufuka bila kubadili msimamo wa kuitetea TZ
2. ZZK; Amekubali kushirikiana na waliomuona msaliti kwa maslahi mapana ya mama TZ
3. Maalim Seif; Pamoja na kupokwa ushindi na misukosuko mingi bao anaendesha siasa za kistaarabu zinazoepuka madhara/ maafa kwa wengine.
4. Mbowe; Amepigwa mishale kila kona, binafsi na chamani lakini bado amekomaa na msimamo wake.
5. .....