Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,197
- 14,890
Kilasiku mnatoa matamko kwamba Tanzania ni nchi Tajiri na ina rasilimali za kutosha ndio maana majirani na mataifa mengine ulimwenguni yanachochea machafuko hapa nchini.
Mlishawahi kujiuliza ni kwanini mnakopa pesa kila uchwao na mkikosa mikopo mnakuwa na unyonge na kusema tuna hali mbaya?
Kama Tanzania ina utajiri kwanini wananchi wanalalamika hali ngumu?
Kwanini mnaongeza madeni kilasiku kwa mikopo isiyoisha na ilhali nchi ni tajiri?
KUANZIA SASA ACHENI KUSEMA NCHI NI TAJIRI, SEMENI NCHI YETU NI MASKINI ILI KUEPUSHA HASIRA KWA WANANCHI.
Mlishawahi kujiuliza ni kwanini mnakopa pesa kila uchwao na mkikosa mikopo mnakuwa na unyonge na kusema tuna hali mbaya?
Kama Tanzania ina utajiri kwanini wananchi wanalalamika hali ngumu?
Kwanini mnaongeza madeni kilasiku kwa mikopo isiyoisha na ilhali nchi ni tajiri?
KUANZIA SASA ACHENI KUSEMA NCHI NI TAJIRI, SEMENI NCHI YETU NI MASKINI ILI KUEPUSHA HASIRA KWA WANANCHI.