Hao wataalamu watazunguka Nchi nzima? Makanisa na Misikiti inatosha, acheni dhambi, ikitokea ajali badala ya kuokoa mnaiba wakati dereva mkanda haufunguki. Kahama Shinyanga malori (Tanker) mbili zimeanguka mbona mafuta hawakuiba?
Km ni wanasaikolojia waanze ma madereva wa Tanker wamalize matatizo ya majumbani, nyumba ndogo na tamaa kuna kitu, haiwezekani lorry liungue wakati dereva hayupo, au limwage mafuta kuna kitu waanzie hapo