Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.
Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.
Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.