Wanapotongozwa

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,252
Binti wa kinyakyusa hata kabla hujaanza kutia neno, ile unamsalimia: dada vipi? Huku umekaziwa jicho la taharuki Utasikia, 'fipi kifipi, we!'
 
Fipi kifipi?mi ntamwambia fipi kifile file,alafu namshika mkono kumwongoza machinjioni!!!
 
No wonder toto moja la kinyakyusa nililotaka kuliimbisha lilikuwa lina hofu utadhani kasimama juu ya paa la nyumba. Hivi makabila mengine inakuwaje?
 
dah hiyo ni kweli hata mie ishanitokea watoto wa kinyakyusa wana defence mechanism wasitongozwe
 
Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.
 
Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.

nyie ndio wale 'sambi ni sako mwenyewe' au ndio hao hao 'fipi kifipi?'
 
Kabila letu ukiwa unapigwa tongozo ni marufuku kukunja uso, wala kushika majani, wala tusiangalie pembeni au chini. Tunaambiwa tumtazame mwanaume usoni, umkatae au umkubali huku ukiwa na tabasamu na sura ya furaha.
Dah!! Kama ni hivyo wanaume wengine wanaweza kushindwa kushusha mistari.
 
Binti wa kinyakyusa hata kabla hujaanza kutia neno, ile unamsalimia: dada vipi? Huku umekaziwa jicho la taharuki Utasikia, 'fipi kifipi, we!'


daaaaaaah hiyo red imenitisha sana kama mgeni wa matongozo unaweza airisha tongozo zako...teh teh
 
hahahahahahahaha! Uwiiiii RF umenvunja mbav zng! Hyo hofu inaletwa na nini? Hahahahaha!
No wonder toto moja la kinyakyusa nililotaka kuliimbisha lilikuwa lina hofu utadhani kasimama juu ya paa la nyumba. Hivi makabila mengine inakuwaje?
 
hajatongozwa tayari kesha 'wachia mlango wazi'. hivi nikweli eh wanayakyusa wako hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…