Wanaouza mihogo wanajiita wajarisiamali

Restless Hustler

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
4,742
17,983
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.

Tanzania, nchi yangu 😅
 
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.
Tanzania, nchi yangu
Wewe nd ambae hujui hata tafsiri ya ujasiriamali hapo.
 
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.
Tanzania, nchi yangu

Kwenye ujasiliamali lazima ucheze na innovationa and creativity.
 
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.
Tanzania, nchi yangu

You have just defined the term “invention” and not “Entrepreneurship”. they may be doing it on small scale,yes! buh it’s still entrepreneurship
 
Ujasirimali ni mtu mwenye kujituma asie taka kusubiri cha kugaiwa, ni mtu au watu wenye maono ya kujitegemea.

Wapo wajisirimali wanaanzia na kuuza mihogo leo kesho maadanzi kesho kutwa ana mgahawa wake mwenyewe. Kuwa mjaairimali ni njia ya kuanzia safari ya kutoka maisha duni na kuelekea maisha bora.

Jee. Unajua Bakhresa alipo anzia na alipo sasa?
Jee wajua alipo anzia vunja bei na alipo sasa?
Jee. Wajua kama Diamond platinum nae alikuwa mjasirimali wa mitumba unamuona jitihada zake leo alipo?

Hawa nao walikuwa wajasiri mali kabisa usidharau ajira ya mwenzako kwasababu hujui mwisho wako upoje.
 
Back
Top Bottom