NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Miaka ile kabla ya YESU wajenzi waliamini kinaongeza nguvu kumbuka kulikuwa hakuna winchFafanua kidogo hapo kwenye waliojenga pyramids za Misri Mkuu!
Miaka ile kabla ya YESU wajenzi waliamini kinaongeza nguvu kumbuka kulikuwa hakuna winchFafanua kidogo hapo kwenye waliojenga pyramids za Misri Mkuu!
miaka ile kabla ya YESU wajenzi waliamini kinaongeza nguvu kumbuka kulikuwa hakuna winch
Na ile nguvu vipi?
miaka ile kabla ya YESU wajenzi waliamini kinaongeza nguvu kumbuka kulikuwa hakuna winch
Nilijaribu siku moja ila nilianza kwa kutafuna sitasahau yale maumivu nilijua nakufa.ukimeza asubuhi kabla ya kutia chchte mdomoni inasaidia kukukinga dhidi ya UTI
😂😂 lakin SI nafuu ilipatikana
Nilijaribu siku moja ila nilianza kwa kutafuna sitasahau yale maumivu nilijua nakufa.
kwel kabisa chiefMimi huwa nina namna mbili ya kuitumia, moja huwa nachanganya na asali mbichi na kuihifadhi kwenye jar. Naiacha kwa siku tatu ikiwa imefunikwa kabisa kisha baada ya hapo naanza kuitumia kwa kupata kijiko kimoja asubuhi na jioni.
Njia ya pili kama sina asali basi huwa natumia punje zake tatu, nazimenya na kuvikatakata vidogovidogo kisha namezea na maji lita moja kila usiku.
Faida zake naziona ndani ya mwili wangu. Kuumwa ni nadra. Homa nshazisahau, mafua na kifua navyo navisikia tu kuwa vipo kwa wengine. Inaimarisha kinga ya mwili, kusaidia ufanyaji kazi wa moyo na hata kupunguza madhara ya uzio (allergies) haswa ukiitumia na asali. Kitunguu swaumu na asali ni 'anti-bacterial' na 'anti-viral' za asili.
"Usipokula chakula kama dawa, basi utakuja kugeuza madawa kuwa chakula chako."
Nashukuru nilijifunza hili na kuanza kulitekeleza mapema. Kwenye moja ya video ya mtandao wa 'YouTube' nilipata elimu hii murua - "Mwili wa binadamu unaweza jitibu na kujiendesha wenyewe endapo ukiupatia vitu ambavyo mwili huo unavihitaji."
Vitunguu swaumu na gambe havina shida manake vitunguu Swaumu ni kama kachumbari tu. Mm napiga gambe na vitunguu Swaumu natafuna kila asbuhi wakati wa kifungua kinywa.Duh sasa vitunguu na gambe sio kwamba unatengeneza bomu hapo? Mi siku nikiweza kuacha gambe ndio ntaanza kula vitunguu
Unaweza ukatafuna kitunguu swaumu na kitu kingine au hata chakula unachokula.Je kwa watu wenye kisukari wakichanganya hiyo asali si inakuwa hatari? Mimi huwa nikutumie kitunguu swaumu napata shida ya kikohozi je kuna mbadala? Au namna nyingine ya matumizi?
Ukivimeza vitunguu Swaumu km vidonge ukienda haja kubwa unakuta vimetoka hivyo hivyo, nilikua nameza hivyo mwanzoni lkn nimeacha sasa hivi natafuna tu.Kitunguu swaumu kinatoa sumu mwilini na msaada mkubwa kwa watu wa high blood pressure.
Waliojenga pyramids za misri walitumia Kitunguu swaumu.
Kuzuiya harufu usitafune menya vipande vinne vikate mara nne kila kimoja.Tupia kwenye ulimi meza na maziwa mgando piga mswaki sugua ulimi na asubuhi pia hutanuka mdomo.
Harufu mbaya ya kitunguu swaumu ni sulphur na hydrogen sulphide.
Inasaidia pia manake kitunguu swaumu kinasaidia mishipa ya damu kua flexible (dilation) na kufanya damu kufika maeneo yote kwa urahisi hadi kwenye kile kichwa cha chini.Na ile nguvu vipi?
Amekimbia