Wanaosumbuliwa na nguvu za kiume dawa hii hapa

Mapensho star

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,052
4,075
Kutokana na vijana wengi kukupendelea mchezo wa punyeto imepelekea janga kwa wanaume wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu

Tiba dhabiti ya nguvu za kiume ni kupunguza punyeto najua kuacha kabisa ni ngumu unaweza ukafanya at least mara 1 kwa mwezi au wiki 3

Kitu cha pili chukua matunda haya karoti, ndizi, parachichi na tikiti changanya utengeneze juisi utakuwa unatumia asubuhi mchana na jioni pia unaweza ukatakata vipande vipande ukatumia hivyo ndani ya siku tatu hakikisha unapata maji lita Tatu utapona.

Dawa nyingine pia unayoweza kutumia ni asali na kufanya mazoezi
 
Dawa haitakiwi tena kwa sasa kwa kuwa wanaume suruali hawatakiwi mjini, hivyo tegemea wengi kusajiliwa CHAPUTA wakati wa dirisha dogo. Labda uje na mitindo ya ku selfie watu watakuelewa.
 
Badala ya kuwashauri waache kabisa Nyeto, Wewe unawashauri wapunguze!

Inashangaza
 
Kutokana na vijana wengi kukupendelea mchezo wa punyeto imepelekea janga kwa wanaume wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu
Tiba dhabiti ya nguvu za kiume ni kupunguza punyeto najua kuacha kabisa ni ngumu unaweza ukafanya atleast mara 1 kwa mwezi au wiki 3
Kitu cha pili chukua matunda haya karoti,ndizi,parachichi,na tikiti changanya utengeneze juisi utakuw unatumia asubuhi mchana na jioni pia unaweza ukatakata vipande vipande ukatumia hivyo ndani ya siku tatu hakikisha unapata maji lita Tatu utapona
Dawa nyingine pia unayoweza kutumia ni asali na kufanya mazoezi
mkuuu mbona unasaambaza formula yangu bioa utaratibu si busara mimi ndio mgunduz na wewe uliitoa kutoka kwangu anyway mimi ndio naijjulia hii unahis ni kujichua tu je watu wenye sukar watatumiaje kuna nanma ya kutumia wasije kupandisha sukar sababu zipo nying kama pressure ngiri misuli kuungua kutokana na umeme mkubwa wa mawazo na nk ni vixur tukawasiliana na mimi 0712505049 ili thojiane kuliko kutumia tu si vizur kusambaza kitu cha mtu bila idhini na kukifanya chako utasababisha matatizo
 
mkuuu mbona unasaambaza formula yangu bioa utaratibu si busara mimi ndio mgunduz na wewe uliitoa kutoka kwangu anyway mimi ndio naijjulia hii unahis ni kujichua tu je watu wenye sukar watatumiaje kuna nanma ya kutumia wasije kupandisha sukar sababu zipo nying kama pressure ngiri misuli kuungua kutokana na umeme mkubwa wa mawazo na nk ni vixur tukawasiliana na mimi 0712505049 ili thojiane kuliko kutumia tu si vizur kusambaza kitu cha mtu bila idhini na kukifanya chako utasababisha matatizo
Duuuuu huyo nae anajiita dr
 
mkuuu mbona unasaambaza formula yangu bioa utaratibu si busara mimi ndio mgunduz na wewe uliitoa kutoka kwangu anyway mimi ndio naijjulia hii unahis ni kujichua tu je watu wenye sukar watatumiaje kuna nanma ya kutumia wasije kupandisha sukar sababu zipo nying kama pressure ngiri misuli kuungua kutokana na umeme mkubwa wa mawazo na nk ni vixur tukawasiliana na mimi 0712505049 ili thojiane kuliko kutumia tu si vizur kusambaza kitu cha mtu bila idhini na kukifanya chako utasababisha matatizo

Mkuu umeandika lugha gani sasa
 
mkuuu mbona unasaambaza formula yangu bioa utaratibu si busara mimi ndio mgunduz na wewe uliitoa kutoka kwangu anyway mimi ndio naijjulia hii unahis ni kujichua tu je watu wenye sukar watatumiaje kuna nanma ya kutumia wasije kupandisha sukar sababu zipo nying kama pressure ngiri misuli kuungua kutokana na umeme mkubwa wa mawazo na nk ni vixur tukawasiliana na mimi 0712505049 ili thojiane kuliko kutumia tu si vizur kusambaza kitu cha mtu bila idhini na kukifanya chako utasababisha matatizo
Ulikua wap hadi akakuibia,? Huo ni uzembe wako tapeli ww
 
Ulikua wap hadi akakuibia,? Huo ni uzembe wako tapeli ww
kitendo cha kusambaza sehem ya fomula yangu ni kosa kwan haijakamilika bado inaitaj asilimia ya carb katika chakupa bado asilimia ya vegetable bado na asilimia ya protein bado pia aina ya zoez kwa ajili ya pelvic floor muscules yaan pfm bado kias cha maji kisichovuruga formula na bad mda wa kusubir digestion itake place maana kula ynaweza ukakosea mda wa matunda kusagwa na virutubisho visiingie mwilin vikatengeneza dehydration kwa kutofikia seli za mwili ni busara uwasiluane na mimi mwenyewe 0712505049
 
  • Thanks
Reactions: wax
Kutokana na vijana wengi kukupendelea mchezo wa punyeto imepelekea janga kwa wanaume wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu

Tiba dhabiti ya nguvu za kiume ni kupunguza punyeto najua kuacha kabisa ni ngumu unaweza ukafanya at least mara 1 kwa mwezi au wiki 3

Kitu cha pili chukua matunda haya karoti, ndizi, parachichi na tikiti changanya utengeneze juisi utakuwa unatumia asubuhi mchana na jioni pia unaweza ukatakata vipande vipande ukatumia hivyo ndani ya siku tatu hakikisha unapata maji lita Tatu utapona
Dawa nyingine pia unayoweza kutumia ni asali na kufanya mazoezi
utaua watu kuna wagonjwa wa sukar hawatumii juis ya matunda hapo watapata sugar crash
 
mkuuu mbona unasaambaza formula yangu bioa utaratibu si busara mimi ndio mgunduz na wewe uliitoa kutoka kwangu anyway mimi ndio naijjulia hii unahis ni kujichua tu je watu wenye sukar watatumiaje kuna nanma ya kutumia wasije kupandisha sukar sababu zipo nying kama pressure ngiri misuli kuungua kutokana na umeme mkubwa wa mawazo na nk ni vixur tukawasiliana na mimi 0712505049 ili thojiane kuliko kutumia tu si vizur kusambaza kitu cha mtu bila idhini na kukifanya chako utasababisha matatizo
Sasa kama mgunduzi ungeandika uzi wako alafu tuambie tuufuate hukohuko siyo kutupa no, we tuandikie tukiufuata tukipona tutashukuru kuliko kutoa no watu watakuona Tapeli maana tushapigwa sana humu
 
Back
Top Bottom