Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Hakuna ubishi

Kama Miungu hiyo haipo na wewe unakubali na huwezi kuthibitisha haipo for the same principle hata mimi nasema Mungu wako hayupo
Usijichanganje, tunachofanana ni kupinga na sio hoja ya kupinga.

Katika uislamu mungu ni mmoja, hivyo hiyo miungu mingine ni batili, au na wewe unatumia hoja hii? umeshakuwa muislamu?

Hivyo mimi kupinga uwepo wa miungu mingine sio hoja ya wewe kupinga mungu ninayemuamini bali ni ukaidi.

Hebu lete hoja.
 
Ili nisipinge Mungu wako nitakuomba unithibitishie uwepo wake, ukiweza nitamkubali
 
Ili nisipinge Mungu wako nitakuomba unithibitishie uwepo wake, ukiweza nitamkubali
Atakwambia thibitisha kama mungu yupo.

Sasa kama dalili alizoziweka mungu mwenyewe kuthibitisha uwepo wake hazijakukinaisha kuamini, unadhani hoja gani itakayokukinaisha.

Muktadha wa kupinga kwao ni kwamba mungu hayupo, hivyo hoja za kuthibitisha uwepo wake zote ni batili, lakini hata kama mungu yupo na hizi ndizo dalili alizoziweka kuthibitisha uwepo wake, basi ndio tayari wameshazipinga, maana hawakubalianinazo, hivyo ni wapingaji.
 
Ili nisipinge Mungu wako nitakuomba unithibitishie uwepo wake, ukiweza nitamkubali
Hili bandiko linaezea uwepo wa wakana mungu, hivyo jikibali maana hata Quran inathibitisha uwepo wako.

Au hadi hili nalo unapinga?
 
 
Kuna vitu ukifikiria hupati majibu kabisa mfano kumu judge Mungu
Wakana mungu pia ni watu waliokosa direction, ndio maana hujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.

Hivi kama mtu ameupinga muongo uliotoka kwa mola wake, unadhani ni wapi atakapopata muongozo?

Hivyo ni lazima wajuilize maswali kama yasiyo na majibu.

Na walivyo wakaidi hutumia ujingawao(wa kutomjua mungu) kama hoja.
 
Mungu yupo

Alishusha Qur'an
Biblia iliandikwa kwa uoni wa Manabii kutoka kwake
Yupo kila pahala
Anamjua kila mtu



Swali langu ni
Ilikuwa nini asijithibitishe tangu awali kwa wazee wetu waliotangulia ili kujithibitisha kuwa apaswaye kuabudiwa ni yeye pekee badala yake huko kumfahamu yeye kukaja kupitia mawakala wa Ukoloni!?
 
Kusema kuna dalili kaziweka, huo sio uthibitisho hiyo ni assumption yakuonesha unavyotaka ku fabricate uthibitisho
 
Hili bandiko linaezea uwepo wa wakana mungu, hivyo jikibali maana hata Quran inathibitisha uwepo wako.

Au hadi hili nalo unapinga?
Kuelezea na kuthibitisha ni mambo mawili tofauti

Naweza nikakuelezea hapa habari za Hogwarts kupitia kitabu cha Harrypotter lakini je hiyo itakuwa nimethibitisha shule hiyo ipo?
 
Kuelezea na kuthibitisha ni mambo mawili tofauti

Naweza nikakuelezea hapa habari za Hogwarts kupitia kitabu cha Harrypotter je hiyo itakuwa nimethibitisha shule hiyo ipo?
Basi sawa Quran inaeleza uwepo wa wakana mungu, hivyo inatambua uwepo wao.

Jikubali.

Na wewe ni uthibitisho ya kuwa wakana mungu wapo kama walivyotajwa katika Quran.
 
Mifano mingi Tu...sema vichwa ngumu hamkubaligi
 
Basi sawa Quran inaeleza uwepo wa wakana mungu, hivyo inatambua uwepo wao.

Jikubali.

Na wewe ni uthibitisho ya kuwa wakana mungu wapo kama walivyotajwa katika Quran.
Sio Quran tu, vitabu vingi vimeeleza uwepo wa wapinga Mungu lakini bado huvikubali kuwa ni vitabu vya kweli

Nini kinachofanya kitabu chako kiwe special kuliko vingine?

Kuthibitisha Mungu yupo ndio kwamba umeshindwa kabisa?
 
Hauwezi kumjua mungu bila DINI.
Ndo maana kulikuwa na mitume na manabii waliotumwa kuleta neno la kumjua mungu.
Ndo maana kuna watu waliowapinga hao mitume na manabii waliadhibiwa kwa adhabu Kali ya Mungu
Ndio ujinga unapoanzia
Kuamini simulizi/ngano za watu wachache waliotokea pale mashariki ya kati,


Tumelishwa vitu vya ovyo sana
 
Neno mungu umelitumia kwenye mkitadha gani?

Kumbuka kuna maneno kama haya

1.mungu
2. Mungu
3. MUNGU

TAFADHALI NIJULISHE MAANA UJUMBE WAKO NI MZURI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…