I am Bless
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 231
- 517
Mbona huna fact unatoa mapovu tu,Kama mtu hajaolewa, wewe unaathirika vipi na mtu huyo?
Kama wanawake wapo wengi ambao pia hawajaolewa na wapo below 30, kwanini usiwafuate hao uachane na hawa as long as hawahangaiki nawewe?
Ni swali tu.
Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app