miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,109 Jul 26, 2014 #2 si sawa ila kinamama wa dot com wafanyaje sasa bila kuwa artificial awezi kutoka... mtoto nae hapa ananyonya artificial its okey..
si sawa ila kinamama wa dot com wafanyaje sasa bila kuwa artificial awezi kutoka... mtoto nae hapa ananyonya artificial its okey..
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,663 Jul 26, 2014 #3 Nilifikiri ni mwanamke wa kimatumbi!! kumbe mzungu!! kwao kila kitu ni sawa tuu.
MILCAH28 JF-Expert Member Joined Jul 9, 2014 Posts 1,140 Reaction score 328 Jul 26, 2014 #4 Kwa Hao watu weupe ni sawa ila kwetu waafrica ni majangaa...Sio powaaa kutoaaa titi mbele za watu
N ng`wana ong`wa kulwa JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 2,420 Reaction score 1,755 Jul 26, 2014 #5 Siyo sawa hata kidogo mke wagu huwa naona anafunika kanga kwa juu sijui aliambiwa na nani kwikwiwkwiwi
Siyo sawa hata kidogo mke wagu huwa naona anafunika kanga kwa juu sijui aliambiwa na nani kwikwiwkwiwi
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,249 Jul 26, 2014 Thread starter #6 ng`wana ong`wa kulwa said: Siyo sawa hata kidogo mke wagu huwa naona anafunika kanga kwa juu sijui aliambiwa na nani kwikwiwkwiwi Click to expand... Wanawake wa Kiafrika hasa Watanzania wanaakili sana kwenye mambo kama haya Heshima yao akiwemo na mke wako.
ng`wana ong`wa kulwa said: Siyo sawa hata kidogo mke wagu huwa naona anafunika kanga kwa juu sijui aliambiwa na nani kwikwiwkwiwi Click to expand... Wanawake wa Kiafrika hasa Watanzania wanaakili sana kwenye mambo kama haya Heshima yao akiwemo na mke wako.
N ng`wana ong`wa kulwa JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 2,420 Reaction score 1,755 Jul 26, 2014 #7 NAPITA said: Wanawake wa Kiafrika hasa Watanzania wanaakili sana kwenye mambo kama haya Heshima yao akiwemo na mke wako. Click to expand... Ni kweli mkuu.
NAPITA said: Wanawake wa Kiafrika hasa Watanzania wanaakili sana kwenye mambo kama haya Heshima yao akiwemo na mke wako. Click to expand... Ni kweli mkuu.
OLESAIDIMU JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 19,139 Reaction score 9,575 Jul 26, 2014 #8 Ethnocentrism!!!!!
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Jul 26, 2014 #10 Duh!hiyo kweli kiboko
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 371,644 Reaction score 860,834 Jul 26, 2014 #11 Hatupaswi kuiga kila kitu vingine majanga lakini kuna baadhi ya dada zetu wanaweza Kuna ni fashion
Honey Faith JF-Expert Member Joined Aug 21, 2013 Posts 15,782 Reaction score 11,838 Jul 26, 2014 #12 Kama ni fashion hiyo itanipita
M mjasiria2mbo Member Joined Apr 23, 2014 Posts 43 Reaction score 18 Jul 26, 2014 #13 Ukiachana tuu na kulifanya hilo titi lake kuwa la maonyesho bado kiafya ni hatar kwa huyo mtoto hapo maana harufu ya hizo rangi za kucha + manywele hayo mtoto si atakuwa anayanyonya jamani ptuuuuuuuuuuuu!!! Fashion nipitie mbali mie
Ukiachana tuu na kulifanya hilo titi lake kuwa la maonyesho bado kiafya ni hatar kwa huyo mtoto hapo maana harufu ya hizo rangi za kucha + manywele hayo mtoto si atakuwa anayanyonya jamani ptuuuuuuuuuuuu!!! Fashion nipitie mbali mie
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,249 Jul 26, 2014 Thread starter #14 Honey Faith said: Kama ni fashion hiyo itanipita Click to expand... Na bora ikupite tu maana haifai kuingwa
Honey Faith said: Kama ni fashion hiyo itanipita Click to expand... Na bora ikupite tu maana haifai kuingwa