Ukitaka kujua kama mtu anajitambua angalia mgombea anayemshabikia. Uwezo wa kupima hoja za wagombea jukwaani ni msingi mkuu wa kupata kiongozi bora DUNIA NZIMA. Ajabu kwa mara ya kwanza katika historia ya vyama vingi DUNIANI, Tanzania imepata mgombea asiyeweza hata kujenga hoja kwa sekunde ishirini tu, na ajabu zaidi mashabiki wake wanajipambunua kuwa wenye hekima tele. Hata hivyo hakuna mwendawazimu anayejitambua kuwa hivyo, kwani hata wenye hekima wakimweleza ukweli kuhusu uendawazimu wake, hugeuka mbogo
Tuwaacheni wapumua na tuwape matumaini msije mkawaua ccm kwa presha
Mamaaaaaaa huuu ukijani unanitia kichefu chefu
Hata mimi nimegundua wanaomshabikia sawalo kundi kubwa ni wale walifeli maisha yaani kabavi na walalahoi kama wale waliomuingiza Adolf Hitler madarakani
Sasa hivi tunataka mtu anayeongea kidogo tu ila ni mtendaji zaidi.Viongozi wote waliojua kujenga hoja wameifanyia nini nchi hii cha maana hadi kufikia leo?Tatizo la mgao wa umeme duniani umebaki Tanzania tu.
umasikini hupunguzwa tu hauishi! Hata america imeshindwa kuondoa umasikini pamoja na kuchota rasilimali za wenzao seuse tz, so tulieni umasikini unazidi kupunguzwa, haraka haraka haina baraka, huko kukurupuka kwenu mkauzwe wenyewe sisi hatuuziki wala kununulika.
ccm out...
Ukawa in.
Oct 25
unakaribia kuresti in pisi soon?yaani nyie hangaikeni tu, ila hata maiti yangu haiwezi kuipigia kura ukawa.
unakaribia kuresti in pisi soon?
Anza dozi mapemaa
Hahaaa hiyo dozi bora uanze wewe maana baada ya oct 25 wengi mtakimbia humu JF
Wanahahaaaaaa kwisha habari yao
maisha yamekuwa rahisi sana siku izi maana ukiishabikia UKAWA tu automatical unajiona una akili hata uwe na dv 5