IFM ina miaka 40 tokea ianzishwe na ilianzishwa na NBC kwa madhumuni ya kuwapata bankers wakushka nafasi mbalimbali ndan ya different institutions Hapa nchin!!! Mpaka sasa chuo kina wahitimu weng walioko BOT.TRA na bank kibao
kwa wale wte mliochaguliwa hapo msiogope majungu ya watu kwan mti mwenye matunda ndio ulengwao mawe
pia ukisoma IFM kupata CPA ni rahis zaid
kwa mabaya sasa IFM kina madada du na masharo kibao lakin hilo c jambo la msing cha muhimu ujitambue tu unayeenda kusoma pale.
kwa wale wte mliochaguliwa hapo msiogope majungu ya watu kwan mti mwenye matunda ndio ulengwao mawe
pia ukisoma IFM kupata CPA ni rahis zaid
kwa mabaya sasa IFM kina madada du na masharo kibao lakin hilo c jambo la msing cha muhimu ujitambue tu unayeenda kusoma pale.