ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,826
Katikati mwa miji nakutana na wabibi wengine wanakuwa ombaomba wamefunga mizigo mgongoni ni kama vipande vya nguo kwenye kanga unakuta anatembea nao huo mzigo mchana kutwa, ile inakuwa ni kitu gani? Mbona kama ni mambo ya kishirikina wanakuwa nayo?
Mimi naogopa sana kumsaidia bibi wa namna hiyo na kuna wale wengine watoto wenye ulemavu wa akili unawakuta stand au sokoni wanaomba mpaka unajiuliza huyu anatumiaje hela, ananunua kitu gani?
Maana kwa hali aliyonayo hata msaada wa chakula atapewa bure na mama ntilie wale itakuwa wanatumwa na watu wakubwa, wamegeuzwa kama misukule.
Mimi naogopa sana kumsaidia bibi wa namna hiyo na kuna wale wengine watoto wenye ulemavu wa akili unawakuta stand au sokoni wanaomba mpaka unajiuliza huyu anatumiaje hela, ananunua kitu gani?
Maana kwa hali aliyonayo hata msaada wa chakula atapewa bure na mama ntilie wale itakuwa wanatumwa na watu wakubwa, wamegeuzwa kama misukule.