vonteper
Member
- Jan 29, 2015
- 24
- 9
Days are numbered ...hilo lipo wazi ni mithili ya bianadamu aliye zaliwa na mwanaamke ili hali akijua kifo kipo..
Tumetawaliwa na hofu,mashaka na woga wa tusiyo yajua kwa kile walicholishwa wananchi ..na chama tawala.
Wananchi wameaminishwa kua
tanzania ni ccm,
tanzania haiendeshwi bila madeni,
tanzania watu wachini wanadhamani zinazo nunulika
Tanzania wezi wengi ni afadhali kuliko mmoja wasiye na uhakika nae
Tanzania inaweza badilishwa na mtu mmoja si mfumo kubadilika
Tanzania uthamani wa mwananchi ni kura tu.
Tanzania upinzani ni vita
Tanzania wezi wakalamu hawafungwi
Tanzania wenye akili ni wanaoongoza serikali
Leo nasema hapana...mtanzania mwenye akili ni yule anaye jua nchi yetu inahitaji nini kwa sasa ni mabadiliko tuu. Hivi vilivyosemwa ni unga wa ndere wanalishwa wananchi ..fanya uamuzi ulio sahihi ukiwa unafanya mtihani wako wamwisho uwe umesoma hujasoma andika jibu sahihi.
Kwa udongo uliumbwa kwa udongo utarudi mavumbini ulitoka mavumbini utarudi....na kila aliye zaliwa na mwanamke siku zake zakuishi si nyingi...kadhalika ccm ilitengenezwa na pia itapita...hakuna mkubwa zaidi ya tanzania usiwaze maisha yako leo waza watoto na vizazi vingi vijavyo baada ya ww kupita
Mungu ibariki tanzania mungu ibariki ukawa mungu iangushe ccm.
Tumetawaliwa na hofu,mashaka na woga wa tusiyo yajua kwa kile walicholishwa wananchi ..na chama tawala.
Wananchi wameaminishwa kua
tanzania ni ccm,
tanzania haiendeshwi bila madeni,
tanzania watu wachini wanadhamani zinazo nunulika
Tanzania wezi wengi ni afadhali kuliko mmoja wasiye na uhakika nae
Tanzania inaweza badilishwa na mtu mmoja si mfumo kubadilika
Tanzania uthamani wa mwananchi ni kura tu.
Tanzania upinzani ni vita
Tanzania wezi wakalamu hawafungwi
Tanzania wenye akili ni wanaoongoza serikali
Leo nasema hapana...mtanzania mwenye akili ni yule anaye jua nchi yetu inahitaji nini kwa sasa ni mabadiliko tuu. Hivi vilivyosemwa ni unga wa ndere wanalishwa wananchi ..fanya uamuzi ulio sahihi ukiwa unafanya mtihani wako wamwisho uwe umesoma hujasoma andika jibu sahihi.
Kwa udongo uliumbwa kwa udongo utarudi mavumbini ulitoka mavumbini utarudi....na kila aliye zaliwa na mwanamke siku zake zakuishi si nyingi...kadhalika ccm ilitengenezwa na pia itapita...hakuna mkubwa zaidi ya tanzania usiwaze maisha yako leo waza watoto na vizazi vingi vijavyo baada ya ww kupita
Mungu ibariki tanzania mungu ibariki ukawa mungu iangushe ccm.