GE2025 Wananchi wa Mbeya wamchukulia fomu ya kuwania Ubunge Viti Maalum (Mama Ikupa) Ikupa Mwaifani

GE2025 Wananchi wa Mbeya wamchukulia fomu ya kuwania Ubunge Viti Maalum (Mama Ikupa) Ikupa Mwaifani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,439
Reaction score
6,692
Wakuu,

Wananchi wa mkoa wa Mbeya leo Julai Mosi wamemchukulia fomu ya kuwania Ubunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Ikupa Mwaifani ambaye ni Mkurugenzi wa Ikupa Financial Services

Wamemchukulia fomu hiyo kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) wakieleza lengo la kumchukulia fomu ni kuunga mkono jitihada zake katika kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali nchini na kumtaka aijaze na kuirejesha kwa wakati.

 
Back
Top Bottom