Wananchi wa Dar wanabomolewa kwa kuwa hawakuchagua CCM

Jadi

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
1,494
862
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
 
Hahahahaaa Mpwa sio kweli ila ukiangalia kwa jicho lingine unaweza kuwa na ukweli flani tena kule ambako hahahaaaa Wabunge ni wa Chama kingine wategemeee ghiliba nyingi sana saana
 
Hahahahaaa Mpwa sio kweli ila ukiangalia kwa jicho lingine unaweza kuwa na ukweli flani tena kule ambako hahahaaaa Wabunge ni wa Chama kingine wategemeee ghiliba nyingi sana saana
Angalia hali ni mbaya Kinondoni aliko Makonda ni kama operesheni tokomeza hii. Ukatili kwa binadamu ni zaidi na tunavyofikiri
 
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
hii si kweli kwani wakati wanabomia wanauliza hao watu ni wanachama wa vyama gani?mini baamini kuwa waluovunjiwa wengine ni wana ccm
 
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
Unaonyesha ulivyo limbukeni kulinganisha Tanzania na Uholanzi!!
 
Jana walikua huku magomeni wakisurvey

Kuna polisi alikua ameshikilia bunduki yake huku akiimba na kucheza

Tumeipenda wenyewe wavimbe wapasuke
wataisoma namba

Kuna mama alikua analalamika siku magufuli anatangazwa alifurahi now anamkumbuka Lowassa

Teh teh teh

Walivyokua wanaambiwa hapa kazi tu hawakuelewa
 
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
Nitakupa mfano mmoja tu! Unakumbuka around August mwaka huu kuna nyumba iliteketea kwa moto na kuuwa wanafamilia 9? Unakumbuka gari ya zimamoto iliwahi kufika lakini ikasimama karibia mita 800 kutoka eneo la tukio sababu hakukuwa na njia ya kufikia ile nyumba?
Kama makosa yalifanyika kwenye administration iliyopita, haimaanishi administration hii pia iendeleze huo upuuzi...lazima turekebishe haya matatizo sasa...la sivyo, miaka 200 baadae tutakuwa tunazungumzia matatizo hayahaya...
 
Hahahahaaa Mpwa sio kweli ila ukiangalia kwa jicho lingine unaweza kuwa na ukweli flani tena kule ambako hahahaaaa Wabunge ni wa Chama kingine wategemeee ghiliba nyingi sana saana
Kwanini wameng'ang'ania kinondoni sana au kwakuwa ilala bado ni ya Zungu?
 
KIUKWELI INASIKITISHA SANA,,
YAANI UKIPITA PALE KINONDONI
UKIWAANGALIA WALE WALIOVUNJIWA HALI WANAVYOISHI
,,INATIA HURUMA AISEE,, KAMA WAKIMBIZI NDANI YA NCHI YAO
 
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
katika jicho la tatu unaweza ukafikiria hivyo lakini, lakini tukumbuke haya maeneo wanayotolewa mwaka 2012 watu wengi walipoteza maisha kwa sababu ya mafuriko, labda nikuulize kipi kifanyike waache watu wafe kwa mafuriko yakitokea au? haya yote yanatokona na ukosefu wa sera ya taifa au ilani ya taifa na ndiyo maana wanasiasa wanatumia mwanya huu kutangaza propaganda zao, lakini kwa mafuriko yanayotokea jangwani, na msimbazi ni bora wahamishwe lakini wapangiwe maeneo mengine. sema serikali ilipaswa kuwahifadhi angalau kuwapa hata mahema ya kujikimu.
 
nashangaa wanaobomolewa ni wale wale kila kukicha,ukipita coco au ostabay watu wamejenga mpaka barabarani,wengine wamejenga kwenye kingo za bahari lakini miaka nenda rudi hawaguswi.
Nina imani na nafsi yangu inaniambia kuwa wakazi wa Dar wanabomolewa makazi yako kwa kuwa hawakuchagua CCM. Hii ni kisasi cha serikali kwao kwa visingizio vya mabondeni, mara mipango miji nk. Ukiangalia wabunge wote kasoro Ilala, kigamboni na Ukonga ni Upinzani. Kwani kama watu walikuwa wanajenga na wanaonekana na serikali za mitaa zilikuwepo waliachwa??mbona hata hiyo ishu ya karibu na fukwe nchi nyingine kama Uholanzi wanajenga hadi ndani ya maji kuongeza ardhi??nchi yetu imejaa vilaza wanaokaa mezani tu na kutengeneza mipango miji ya mezani ili kuonea wananchi. Hawajui wanachofanya ni kuvaa masuti tu na kukuza vitambi vya rushwa. Kuna wakati serikali haikuwa na pesa za kupima naeneo na walitegemea wananchi wawasubiri??ni wakati sasa kuigomea serikali hii onevu kwa walalahoi na nguvu ya umma itumike. Tusikae kimya kwa kuwa nyumba zetu hazijaguswa, tukemee hili kwa kuwa kuna uonevu kwa wananchi wasio na hatia.
 
Jana walikua huku magomeni wakisurvey

Kuna polisi alikua ameshikilia bunduki yake huku akiimba na kucheza

Tumeipenda wenyewe wavimbe wapasuke
wataisoma namba

Kuna mama alikua analalamika siku magufuli anatangazwa alifurahi now anamkumbuka Lowassa

Teh teh teh

Walivyokua wanaambiwa hapa kazi tu hawakuelewa
tatizo la watanzania mambo ya msingi tunaweka siasa, lakini tukumbuke hawa watu walipewa viwanja mabweande, na maeneo wanayokaa kuna mafuriko sasa kipi bora, tuache watu wafe? maana mafuriko yakitokea utasikia serikali haitujali, nafikri ifike hatua tubadilike kwenye mambo ya msingi tuache siasa nyepesi, maana hata kama angeingia Lowasa asingeweza kuzuia mafuriko.
 
Sheria huwa haiangalii chama wala dini, kama umejenga kwenye njia ya maji sheria inakuondoa na sio sababu ya matokeo ya uchaguzi... Hata kama Lowasa angekuwa Raisi bado sheria ingewaondoa hao walio mabondeni. Bora waondoke leo kuliko kuzika watu mafuriko yakija
 
Nitakupa mfano mmoja tu! Unakumbuka around August mwaka huu kuna nyumba iliteketea kwa moto na kuuwa wanafamilia 9? Unakumbuka gari ya zimamoto iliwahi kufika lakini ikasimama karibia mita 800 kutoka eneo la tukio sababu hakukuwa na njia ya kufikia ile nyumba?
Kama makosa yalifanyika kwenye administration iliyopita, haimaanishi administration hii pia iendeleze huo upuuzi...lazima turekebishe haya matatizo sasa...la sivyo, miaka 200 baadae tutakuwa tunazungumzia matatizo hayahaya...



Mkuu Duppy Kwahiyo "makosa yaliyofanyika kwenye administration iliyopita" nimenukuu kama ulivyosema ni usahaulifu wa kubomoa nyumba Za wa2 wa mabondeni 2 Na pale Bandarini? Maazimio ya Kamati ya bunge dhidi ya account ya Escrow Mbona Na yenyewe hayakukamilika? Au Na yenyewe yameachwa kiporo?

Kuna waliopelekwa kwenye kamati ya maadili kwa kukiuka maadili ya U2mishi wa uma majina Yao yanajulikana.vipi kuhusu mrejesho? Jengo la makao makuu TANESCO Ubungo vipi au mwenzetu huoni wala hufuatilii habari nyingine isipokuwa bomoa bomoa2 "I'm only passing "
 
Si kweli mtoa bango kua wananchi wa Dar wanabomolewa kwakua waliuchagua upinzani kwakua Hata Dodoma ambao majimbo yote yalichukuliwa na CCM nao pia wanabomolewa.
 
Kupewa kiwanja haina maana nyumba itaota.... kazi ya serikali ni kuwainua wananchi wake kimaendeleo tena kwa makusudi.... unapobomoa nyuma kwa malipo ya kiwanja mabwepande ... umemsaidiaje raia maskini huyu???

Serikali kabla ya kutenda hufanya utafiti, Watu wanaokaa mabondeni wanakipato gani, kazi gani na kwanini wakae na familia zao maeneo hayo... ! Serikali hii inamajibu ya hayo?

Ukipata majibu hayo utajua jinsi ya uwasaidia watu (wananchi) "makusudi"
 
Back
Top Bottom