...hongera Chadema kwa kupeleka elimu ya uraia hadi Mtwara...
Chacha nyie chamani chi muache tu kwani gechi mtaimalija
akili zako hazina akili na je huko bagamoyo kuna watumiaji wengi si ndio?
Mji unakua kutokana na kuwepo kwa fursa za kiuchumi. Mtwara kuna bandari kama ilivyo Dsm na kiwanda chochote kinaweza kujengwa pale na kuweza kusafirisha product zake nje ya nchi kirahisi. Kama issue ni kuwa na umeme wa uhakika Dar, kwa nini wasipeleke umeme badala ya gesi? Wananchi wa Mtwara wako sahihi kabisa maana vijana hawana ajira na gesi ikibakia Mtwara viwanda vitajengwa Mtwara na watu watapata ajira.Hivi hiyo gesi ikibaki mtwara bila kupelekwa Dar ndo itawafaidia nini? Rasilimali ni vizuri ikajulikana ni za nchi wala siyo mkoa, wilaya au kanda. Kama Mtwara ungekuwa jiji lenye watu wengi na matumizi makubwa na fursa ya kutumia gesi ikapelekwa Dar na kuacha Mtwara hapo kungekuwa na tatizo.