Wanamikakati wa CHADEMA/UKAWA wako makini

Wanamikakati wa CHADEMA/UKAWA wako makini

activist

Senior Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
186
Reaction score
296
Nimefurahishwa na namna CHADEMA/ UKAWA wanavyowafanya CCM wapagawe.

Kutoonekana kwa Slaa kwenye matukio muhimu ya chama na UKAWA ni moja ya mikakati yao ya kuwafanya wapate media coverage kila sikku kuelekea kipindi cha kuanza kampen na kufanya watu wawajadili badala ya kujadili matukio ya CCM ambayo hata kwa sasa mgombea wao hasikiki tena.

Bravo Chadema Bravo Ukawa kwa mikakati mingi madhubuti ya kuhakikisha CCM wanakuwa chama cha upinzani
 
Ni kweli, yaan Chadema wana watu wenye akili sana, yaan wameamua kuhamisha mijadala sasa watu wanaimba wimbo wa Slaa na Chadema,,,kuna namna nyingi sana ya kueneza chama kuelekea uchaguzi mkuu hii ni mojawapo...ndo maana niliwambia kuwa "Hali imedhibitiwa msiwe na wasiwasi" hii ni baada ya Manyerere Jackton kuleta kupewa taarifa za uwongo na wana mikakati wa chadema ila baada ya chadema kubaini kuwa habari ile itasababisha wafuasi wake wapate mshtuko wa moyo na stress TUMAINI MAKENE alijitokeza haraka kukanusha habari ile...yaaaan hadi raha...
 
siasa za kuwekeana masinia ya pilau na nyama yamepitwa na wakati now ni siasa za hoja na mipango bravo Ukawa
 
Kiukweli hata mi nimewakubali vya kutosha ccm wamejaribu sna kuangusha ukawa bila mafanikio na wanazidi kujaribu tena
 
Ni kweli, yaan Chadema wana watu wenye akili sana, yaan wameamua kuhamisha mijadala sasa watu wanaimba wimbo wa Slaa na Chadema,,,kuna namna nyingi sana ya kueneza chama kuelekea uchaguzi mkuu hii ni mojawapo...ndo maana niliwambia kuwa "Hali imedhibitiwa msiwe na wasiwasi" hii ni baada ya Manyerere Jackton kuleta kupewa taarifa za uwongo na wana mikakati wa chadema ila baada ya chadema kubaini kuwa habari ile itasababisha wafuasi wake wapate mshtuko wa moyo na stress TUMAINI MAKENE alijitokeza haraka kukanusha habari ile...yaaaan hadi raha...

Jamaa wanacheza na akili zetu vizuri sana. Speculations zote zinazosemwa hakuna mwenye mwenye reliable source. Zote ni habari za kutunga tuu kisa ni vile kipenzi cha watanzania Dr Slaa kutoonekana hadharani
 
Kwa mbinu hii itasababisha Vigogo wa
CCM kupata stroke due to stress. Watakapoona watu wanaanza kuchoka Dr
Slaa anajitokeza hapo mjadala unaanza upya.
 
Huku nikujifariji ..kwa kweli ..
ingekuwa hivi wasingemzushia josephine
 
Watashutuka Pombe imeishamwagwa na Makomeo yameishafunguliwa.
 
Back
Top Bottom