Wanamabadiliko mje hapa

Wanamabadiliko mje hapa

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
Tunaomba watu wote wenye mapenzi mema na nchi yetu wanamabadiliko mfanye uamuzi sasa wa kuungana hata kama uko CCM njooni haraka kuna mawaziri wengi sana mkubali kupoteza kwa sababu CCM na serikali yake wamegoma kuvunja baraza la mawaziri.

Msisubiri mpaka livunjwe mtakuwa hamjaonyesha uzalendo bali wachumia tumbo tu mje sasa kuongeza nguvu hampotezi ila mtapata heshima kwa watanzania, huu ni ujumbe kwa wale waliopanga kuungana na wanamabadiliko walioko CCM.
 
Time A Time Before Time Time You. Saa Ya Ukombozi Imefika Njoon Tuungane Kumbkabili Adui Yetu
 
Magufuli kwa mabadiliko PLUS

Watu mnatengeneza maana zenu wenyewe. Mna dhani mabadiliko ni kuitoa ccm tu. Hata akishika magufuli nchi hii ataifanyia mabadiliko. Tena ni mabadiliko chanya - mazur

Ipende Tanzania. Chagua Magufuli
 
Hata hao wachache wanaotoka ccm Hawaji moja kwa moja huko sijui chadema. Hii inaonyesha hiki sio chama cha kuhamia. Hiki sio mbadala wa ccm. Jipangeni kwanza. Aminikeni kwanza. Halafu ndio watu watakuja kwenu. Na hii si mwaka huu

Mmewadharau akina Zitto na Dr slaa kiasi hicho wakati walijotolea kufa na kupona kuitumikia chadema halafu mnategemea mtu na akili zake aje huko? Labda wale vichaa ndo watakuja huko
 
Magufuli kwa mabadiliko PLUS

Watu mnatengeneza maana zenu wenyewe. Mna dhani mabadiliko ni kuitoa ccm tu. Hata akishika magufuli nchi hii ataifanyia mabadiliko. Tena ni mabadiliko chanya - mazur

Ipende Tanzania. Chagua Magufuli

najua mnaogopa sana mabadiliko kwa kuwa mmewadhulumu watanzania
 
Chadema imefanya kosa kubwa kumuachia Dr Slaa na Zitto. Tena kwa Dharau kubwa. Eti mmoja ni msaliti. Yaani usaliti ni kupingana na kiongozi mkuu wa chama? Wapi demokrasia? Lowasa kutoshindanishwa na wengine wataka urais katika ukawa! Wapi demokrasia?

Kwanin Zitto hakuruhusiwa agombee uenyekiti katika chadema halaf kura ziamue? Wapi usawa?

Katika hali hiyo unafikiri nani na akili zake atakuja chadema?

Atafanya nini huyo atakaye kuja zaid ya alichofanya Dr Slaa na Zitto ili msimwite msaliti na kumtoa kwa dharau?

Acheni ubinafsi, undugu. Jengeni chama cha kitaifa. Mtu kushika nafasi yoyote itegemee uwezo na kukubalika na huyo mtu kwa wanachama ndani ya chama na sio undugu au ukwe na mtei
 
najua mnaogopa sana mabadiliko kwa kuwa mmewadhulumu watanzania

Mkuu wanaoogopa mabadiliko ni wale wezi na mafisadi hata kama wako ccm. Sio mimi.

Na kwa taarifa yako siko chama chochote na sijawah kuwa chama chochote

Naogopa mabadiliko ya ovyo yasiyo kuwa na nyuma wala mbele ya watu ambao wala hawajajipanga na wala sio wasafi na ajenda yao kubwa ni kushika ikulu tu kwa namna na gharama yoyote. Hayo ndio mabadiliko ninayo yaogopa mimi.
 
Kila mtu na akili zake anajua huyo mamvi anataka kwenda ikulu kupiga ufisadi, kulinda mafisad, kulinda mali zilizopatkana kifisadi na kufanya visasi.

Nani na akili zake timamu amchague mtu kama huyo?

Vote for positive change. Vote for Magufuli
 
Magufuli hana kampani ya majizi ya nchi hii. Chagua magufuli
 
Magufuli kwa mabadiliko PLUS

Watu mnatengeneza maana zenu wenyewe. Mna dhani mabadiliko ni kuitoa ccm tu. Hata akishika magufuli nchi hii ataifanyia mabadiliko. Tena ni mabadiliko chanya - mazur

Ipende Tanzania. Chagua Magufuli

Mabadiliko gani atayafanya magu fool? Si mnasema kila kitu kilikuwa vema katika utawala wa magamba? Sasa ni lini mmegundua mabadiliko? Acheni kudandia gari kwa mbele, hamyaelewi mabadiliko, waachieni wanamabadiliko.

Mmeshikwa pabaya sana, kila kaulimbiu ya ukawa mnajishikiza - na hayo ndiyo mabadiliko, kwa maana ya magu fool na magamba yoote
 
Kila mtu na akili zake anajua huyo mamvi anataka kwenda ikulu kupiga ufisadi, kulinda mafisad, kulinda mali zilizopatkana kifisadi na kufanya visasi.

Nani na akili zake timamu amchague mtu kama huyo?

Vote for positive change. Vote for Magufuli

Dawa imekuingia wewe kenge, tulia imeshaanza kufanya kaaz. Kakojoe ukalale
 
Magufuli kwa mabadiliko PLUS

Watu mnatengeneza maana zenu wenyewe. Mna dhani mabadiliko ni kuitoa ccm tu. Hata akishika magufuli nchi hii ataifanyia mabadiliko. Tena ni mabadiliko chanya - mazur

Ipende Tanzania. Chagua Magufuli

Nenda kamdanganye bibiyako safari hii ccm hamchomoi.
 
Chadema imefanya kosa kubwa kumuachia Dr Slaa na Zitto. Tena kwa Dharau kubwa. Eti mmoja ni msaliti. Yaani usaliti ni kupingana na kiongozi mkuu wa chama? Wapi demokrasia? Lowasa kutoshindanishwa na wengine wataka urais katika ukawa! Wapi demokrasia?

Kwanin Zitto hakuruhusiwa agombee uenyekiti katika chadema halaf kura ziamue? Wapi usawa?

Katika hali hiyo unafikiri nani na akili zake atakuja chadema?

Atafanya nini huyo atakaye kuja zaid ya alichofanya Dr Slaa na Zitto ili msimwite msaliti na kumtoa kwa dharau?

Acheni ubinafsi, undugu. Jengeni chama cha kitaifa. Mtu kushika nafasi yoyote itegemee uwezo na kukubalika na huyo mtu kwa wanachama ndani ya chama na sio undugu au ukwe na mtei

Magamba wamefanya kosa kubwa kumuonea wivu Lowassa, kosa ambalo limewafanya wajute milele juu ya uamuzi wao huo. Mlidharau utashi na uamuzi wa wananchi, sasa kimewatokea puani. Mtanung'unika bila mafaninkio, maji yeshamwagika. You spilled the water. Sasa nguvu ya umma inafanya kaaz. Huwezi kuzuia mafuriko kwa kutumia mkono. Chama cha magamba kimedogoka kama piriton.
 
Mimi nafikiri kura ndio jambo la muhimu zaidi,uwe bado upo CCM sio hoja,hoja ni kura yako utampa nani?
Tuungane kama Taifa tufanye maamuzi sahihi kwa Taifa letu.
Leo hii matatizo ni mengi,maisha ni magumu.Haijalishi wewe ni mfuasi wa CCM au upinzani,ukali wa maisha unatuumiza wote.
Tuchague mabadiliko,kura ni kwa Lowassa kwa maendeleo.
 
Asiyetaka mabadiriko nje ya ccm hana nia ya dhat kulihusu taifa. Huwez kutegemea mtu afanye mabariko,tumeona taarifa za mkaguzi wa serikal 2014 wizara iliyoongoza kwa ubadhilfu mkubwa ni ya ujenz.Leo anajipiga kifua kwa nguvu zake ataondoa ubadhilifu Katka nchi yenye wizara zaid ya 20 kama ameshindwa kukomesha ubadhilifu ndani ya wizara moja.
Tatizo la nchi hii cyo mtu ni mfumo na muundo wake ambao msingi wake ni KATIBA ya wananchi ambayo ILANI ya ccm hata haina habari na isitoshe waliikataa LASIMU ya Warioba.Tunhitaji Katha bora itakayobana watu coz hakuna mtu mkamilifu duniani..Ndugu zangu bila kujali ww ni nani ungana na kundi linalosema mabadiriko kwa maana ya kufumua upya na kujenga tz mpya yenye katba mpya wananchi tujielewe tatzo letu cyo watu tatzo letu ni Katha ya wananchi..
 
Mkuu wanaoogopa mabadiliko ni wale wezi na mafisadi hata kama wako ccm. Sio mimi.

Na kwa taarifa yako siko chama chochote na sijawah kuwa chama chochote

Naogopa mabadiliko ya ovyo yasiyo kuwa na nyuma wala mbele ya watu ambao wala hawajajipanga na wala sio wasafi na ajenda yao kubwa ni kushika ikulu tu kwa namna na gharama yoyote. Hayo ndio mabadiliko ninayo yaogopa mimi.

mkuu hao watu wasafi wako wapi?
 
Kila mtu na akili zake anajua huyo mamvi anataka kwenda ikulu kupiga ufisadi, kulinda mafisad, kulinda mali zilizopatkana kifisadi na kufanya visasi.

Nani na akili zake timamu amchague mtu kama huyo?

Vote for positive change. Vote for Magufuli

mkuu tumchague maghufuli yule aliyeuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na zingine kuwapa nyumba ndogo zake au mwingine?
 
Back
Top Bottom