Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
Katika mwimbo wa crooked smile wa J.Cole aligusia kuhusu kutojipenda au kutojithamini kwa wasichana wanaodhani hawakidhi mahitaji ya urembo......ambao hupelekea kufanya MAAMUZI MAGUMU ya kisichana kila mara kama kubadilisha viungo vya mwili na kujinyima kula kabisa(Faddy Diets)kama kigezo cha kutaka ku-fit kwenye society standards.....ni vizuri kuchunga afya yako lakini si vyema ku-abuse mwili wako na kupoteza UHAI wa furaha yako....kama ni mfupi basi JIKUBALI...kama ni kimbaumbau....JIKUBALI na kama umejaaaliwa mwili....JIKUBALI!