Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 8,387
- 14,658
Usikute Muliro na idiots wenzake wanadhani kutii amri haramu kutoka kwa superiors wao ni defense inayokubalika kisheria!
Ni matumaini yangu wenye hekima watatawala katika kuamua kuua au kuacha vitu viharibiwe tu ikibidi. Kama bado wanafikiria kutetea mali na kuua miili basi wafikirie tena. Dunia haijawahi kufanya kumbukumbu ya mali zilizoharibiwa, majumba au ofisi zilizochomwa moto. Hakuna minara ya kumbukumbu za majengo yaliyoharibiwa katika vurugu nchi yoyote! Tutaona kama ndugu zetu hawa somo hili wanalielewa au bado wanaendelea kulinganisha uhai wa watu na mabasi ya mwendo kasi...
Lakini, vyovyote ilivyo wao waendelee kupanga wanachopanga, na sisi tunaendelea kupanga tunachopanga...
"Mwanaenzi", ni nani huyu?Hatuwezi kuacha nchi ikatekwa na kuongozwa na wahuni, Mafia wachache kama Abdul, Samia, Kikwete Ridhwani, Wanu, Mwanaenzi, Mchengerwa.
Kodi zetu wanazitumia kutanua, zinazobaki kutuua, kututesa, kutufunga kutupoteza.
"Mwanaenzi", ni nani huyu?
Wooote na akina Hamza Johari; akina Madilu Nchemba, na takataka nyingi kama akina Makonda; takataka zote hizi hazifai kubaki zikitanua kwenye jamii iliyojikomboa.
Kila mmoja wao ni lazima ajibu juu ya maovu waliyowafanyia waTanzania.
Hawa siyo "ndugu zetu".Tutaona kama ndugu zetu hawa somo hili wanalielewa au bado wanaendelea kulinganisha uhai wa watu na mabasi ya mwendo kasi...
Aliyeua. Sababu: kwa hawa wauaji, uhai wetu hauna umuhimu/thamani kama majengo au mabasi yao.Hivi niulize swali,nimekuta kesi za watu wawili sehemu,mmoja kaharibu nyumba ya mtu pamoja na kuichoma moto gari ya mtu,na mmoja kauwa watu 10000+tena kwa kukusudia kwa kutumia risasi za moto,ni yupi ana afadhali kwenye hii kesi?
Amina na ije upesi. Itafutwe mbinu ya kulinda mashahidi ili wasilazimike kuachana na swala la kutoa ushahidi.Absolutely mwanangosha...sikuwahi kufikiria nitapita pande hizi..hawa watu wametufanyia vibaya sana...
Yaaani...Ukisikia kinachofanywa na waendesha mashtaka wa hapa is beyond professionalism...a meticulous analysis of every word and action prior, on, and after those days. When the arrest warrants are issued watu hawataamamini majina.
Yaani uangaliwe mpaka umalize kuchoma moto miji ndiyo upelekwe mahakamani!?Sasa hapa nani kilaza?nakujibu askari hana sheria ya kumfumua ubongo anae haribu miundo mbinu,askar hapaswi kumfumua mtu risasi mporaji wa mali za watu,muuwaji wa polis anatakiwa kufikishwa mahakamani kwa kesi ya kuuwa,na kuhusu uhaini ni mahakama ndiyo inayotoa hukumu kwa muhaini na sio polis kumfumua mtu risasi,rudi kwenye post yangu sasa ujibu swali langu kilaza wahed,ona sasa mmeshauwa maelfu yawananchi wasio na hatia kwa akili zenu zilivyokuwa finyu.
akizidiwa anaruhusiwa kufumua ubongo, ndo maana wakapewa bunduki zenye risasi, hawakupewa manatiSasa hapa nani kilaza?nakujibu askari hana sheria ya kumfumua ubongo anae haribu miundo mbinu,askar hapaswi kumfumua mtu risasi mporaji wa mali za watu,muuwaji wa polis anatakiwa kufikishwa mahakamani kwa kesi ya kuuwa,na kuhusu uhaini ni mahakama ndiyo inayotoa hukumu kwa muhaini na sio polis kumfumua mtu risasi,rudi kwenye post yangu sasa ujibu swali langu kilaza wahed,ona sasa mmeshauwa maelfu yawananchi wasio na hatia kwa akili zenu zilivyokuwa finyu.
We kipwinto mambo vipii?Yaani uangaliwe mpaka umalize kuchoma moto miji ndiyo upelekwe mahakamani!?
Hawa lazima wawajibishwe siyo na ICC tu bali na sisi wenyewe. Binafsi nasubiri na nafanya ili kuona wanasimamishwa kwenye mahakama yetu wakibebwa kwenye makarandinga kama Lissu...Hawa siyo "ndugu zetu".
Na hawaui waTanzania "kulinda" chochote zaidi ya utawala wao.
Hapana. Tusijiandae "kuwafunga" tu. Hawa wanastahiri adhabu inayolingana na huko kuua wanakokufanya wao..
Tusisubiri kuwapeleka huko nje, tumalizane nao hapa hapa nyumbani.
Maandamano si ghasia. Katafuteni pa kujifichia. Hamuweza kuniweka madarakani bila ridhaa ya umma, kisha tukae kimya kusubiri mtuteke, na kutunga sheria mbaya za kuwaweka madarakani kwa shuruti.View attachment 3512501
Kila kijana ana nafasi ya kuwa balozi wa amani kwa kuwakumbusha wenzake hatari za ghasia, kusambaza ujumbe wa utulivu, na kuepuka maneno ya matusi au uchochezi. Leo, katika hii Jumamosi ya kuelekea maadhimisho ya Uhuru, nawakumbusha vijana wenzangu tusherehekee kwa uzalendo, busara na mshikamano , tukijenga taifa letu kwa vitendo vya amani na upendo. #amani #tanzania #afrika #siasa #youth
Huyo ni punguani.Nimeuliza swali,ww unatakiwa kunijibu,halafu kama ww una hilo swali lako ungeuliza wewe unavyoona inafaa,hili ni jukwaa huru nakushangaa ww msomi unawafundisha watu kuuliza maswali
Kuna Rais wa Ufilipini Rodrigo Durterte huko mahabusu hapa The Hague...Kuna Raisi mwingine atakuja kuungana hapa
Hakujui wakuja huyoWatakuambia wenzako...